Ohooo kumbe kamoto!😀
"kafaya"
Hivi kwanini huu wimbo haukuHit? Beats ni balaa
I used to have a crush on Steve kafire alivyokua anatangaza East Africa Top 10. Nilikuwa natuma message anasoma basi nasikia raaha
haha hii ndo nilijua ni sababu...
kweli media zetu uchwara. hata EA Radio walishindwa kumnadi MTU wao!