Stephen Wassira: Mwanasiasa mwenye msimamo thabiti

Stephen Wassira: Mwanasiasa mwenye msimamo thabiti

Tatizo lako naona somo la utafiti ulipata division five, kuna Halmashauri gani tofauti na zile za majiji na Manispaa zenye Magorofa?
Kwani Bunda inatofauti gani na wilaya au miji midogo mingine? Nini unadhani kinakukera ukilinganisha na uchumi wa nchi yetu ilivyo?

Wassira katika kipindi hiki cha ubunge wake 2005 mpaka sasa kawezesha kupata Mamlaka ya mji mdogo wa Bunda na sasa mchakato uliopo ni kuufanya Mji wa Bunda kuwa mji kamili kama ilivyo Tarime na maeneo mengine.

Maeneo mengine kama vile Nyamuswa kwa Kasi ya utendaji wa Wassira zinafikiriwa kuwa Mamlaka ya Mji mdogo na masuala haya yamekwishajadiliwa na yapo hatua nzuri.
Mwenzetu uko wapi?
Kwa ufupi kazi nzuri ya Mbunge wetu na Waziri haiwezi kufanyiwa tathimini kwa mistari 6 hapa mtandaoni.
bora nikaishi lamadi,mji mdogo wa kibiashara kuliko bunda,mji mdogo wa majungu,au angalau katoro buselesele,BUNDA KAMA WATOTO WANALALA SAA NNE USIKU MEANING HAKUNA BIASHARA
 
Huyo apelekwe kwenye zoo,maana ataliingizia taifa kipato.eti awe rais nyoooo....
 
Kuna watu wajinga sana na wavivu wakufikiri unafananisha vitimaaalum na wasira?... kama huna la kuandika soma uendezako sio lazima hata kama niwewe mwenyewe bulaya.
Mnavyo muongelea wasira si mwanasiasa uchwara kama mlivyo wazoea wengine huko lindi,arusha,tanga angalieni sana. Nyangumi ni big fish a.k.a wasira unafananisha na dagaa.
 
bora nikaishi lamadi,mji mdogo wa kibiashara kuliko bunda,mji mdogo wa majungu,au angalau katoro buselesele,BUNDA KAMA WATOTO WANALALA SAA NNE USIKU MEANING HAKUNA BIASHARA

Kijana unapenda sana uzinzi?
Yaani watu wasilale wakusubiri wewe.

Hawa ndio great thinkers wanawaza hayo tu, hili Taifa lina kazi kubwa ya kuwasaidia vijana wa namana hii.

Michepuko sio dili baki njia kuu.
 
Kumbe hujui unalolisema. Wassira kajenga nyumba nzuri ya kuishi yenye hadhi yake hapa Bunda eneo la Chiringe "A" karibu na Shule ya Sekondari Bunda Day. Haitaji kuwa na nyumba zaidi ya hiyo kwa sababu utamaduni wa kujilimbikizia mali haujamkuza. Ni mwepesi kutosheka.

Sisi tunaoishi Bunda tunaona mabadiliko makubwa kiuchumi na kijamii ikilinganishwa na enzi za Jaji Warioba na wenzake wengine walipokuwa wabunge wa Bunda.

Bunda ya sasa imepiga hatua nzuri katika maendeleo ya Elimu, Afya, Maji, Barabara nk. Mfano, katika Afya, Wassira kaiwezesha Bunda kuwa na Hospitali ya Wilaya (Manyamanyama) lakini wakati huohuo bado serikali ina mkono wake katika Bunda DDH. Hapo Bunda tunakula double! Kuna mradi mkubwa wa maji wa Nyabehu utakaomaliza shida ya maji Bunda nk

Naunga mkono hoja yako 100% kwa 100%.
 
kijana unapenda sana uzinzi?
Yaani watu wasilale wakusubiri wewe.

Hawa ndio great thinkers wanawaza hayo tu, hili taifa lina kazi kubwa ya kuwasaidia vijana wa namana hii.

Michepuko sio dili baki njia kuu.
kwa hiyo miji yenye mzunguko mkubwa wa pesa na mahitaji makubwa yanayowafanya wafanye biashara usiku kucha ni wazinzi? Hujui uzinzi hata mchana unafanyika sana pengine kuliko usiku? Nenda bunda sokoni au stendi mpya uone wana wa bunda wenye mimba za utotoni, wanahongana madegele na kitini cha udaga,fasta wanaingia gesti
 
kwa hiyo miji yenye mzunguko mkubwa wa pesa na mahitaji makubwa yanayowafanya wafanye biashara usiku kucha ni wazinzi? Hujui uzinzi hata mchana unafanyika sana pengine kuliko usiku? Nenda bunda sokoni au stendi mpya uone wana wa bunda wenye mimba za utotoni, wanahongana madegele na kitini cha udaga,fasta wanaingia gesti

Kwahiyo unawadharau kwa umasikini wao?
Haya tuambie wewe unatoka wilaya gani hiyo ya Matajiri ili tuichambue hapa.
 
kwahiyo unawadharau kwa umasikini wao?
Haya tuambie wewe unatoka wilaya gani hiyo ya matajiri ili tuichambue hapa.

natoka wilaya ya bunda lakini ukweli lazima usemwe, inajiita wilaya ya kazi!!!what a joke,may be walimaanisha kukaa wilaya ya bunda ni kazi kubwa,*ni tatizo ndio maana wakazi wengine akiwemo wasira tuko ukimbizini dar
 
natoka wilaya ya bunda lakini ukweli lazima usemwe, inajiita wilaya ya kazi!!!what a joke,may be walimaanisha kukaa wilaya ya bunda ni kazi kubwa,*ni tatizo ndio maana wakazi wengine akiwemo wasira tuko ukimbizini dar

Bunda unatoka kijiji gani? kitaje na Kisha ujibu maswali yafuatayo.

Jina lako kamili...
Ukoo wako.....
Balozi wako....
Mtaa/Kijiji......
Kata.....
Mtendaji wa Kijiji na Kata......
Diwani wako......
Kazi unayofanya kwasasa......
Mkuu wa wilaya yako.....
Mkuu wa mkoa wako.....

Unamjua nani mtu aliye maarufu katika eneo unaloishi?

Ukishindwa kujibu maswali hayo wewe ni mkimbizi.
 
bunda unatoka kijiji gani? Kitaje na kisha ujibu maswali yafuatayo.

Jina lako kamili...
Ukoo wako.....
Balozi wako....
Mtaa/kijiji......
Kata.....
Mtendaji wa kijiji na kata......
Diwani wako......
Kazi unayofanya kwasasa......
Mkuu wa wilaya yako.....
Mkuu wa mkoa wako.....

Unamjua nani mtu aliye maarufu katika eneo unaloishi?

Ukishindwa kujibu maswali hayo wewe ni mkimbizi.

una maswali mengi kwani we ni polisi.....!!!!!!!???????
 
Hivi Tanzania yetu hii watu wa kufaa katika nyadhifa mbalimbali wameisha?Wassira naye apandishwe chati kiasi hiki?
 
HIVI HUYU JAMAA ALISEMA CDM INAKUFA MWAKA GANI VILE? Tukumbushane
 
anaweza kuwa vizuri ila ana sura mbaya ukimuita mbele za wageni anatia Aibu sana.
 
Wote mnaobeza uwezo wa wasira ni mambumbumbuu, njaa na makundi yana wasumbua, madisadi.
Kama haufahamu subiri ufahamishwe wasira ni nani mnakuja na hoja kuwa ana lala? Kila binadamu lazima alale yaani kumzika nawafananisha na chichidodo mdudu anaye chukia kinyesi lakini anakula funza watokao na kinyesi kifupi anakula kinyesi.
Wasira anauwezo mkubwa hatamvutano huu wa kanuni za bunge la katiba kawa ndiye mweka mambo sawa mpaka sasa na kama haujui na hilo usisemeneno.... wassira kwa vijana wenye uwezo na hasa wasomi, maproff,dr,makatibu wakuu na wakuu waidara wanamzungumza vizuri sana wasira.
Ila sijui kama atagombea basi kutakuwa na mvutano mkubwa na anauwezekano wa kushinda.

Wassira,Lowassa,Makamba Jr(nshamwambia),Ngereja,Membe hawa jamaa mmoja wao akiwa rais basi me ntaenda Kuish Juba,ntaukana uraia kabisaaa,sasa urais unakua kama ukiranja wa darasani
 
anaweza kuwa vizuri ila ana sura mbaya ukimuita mbele za wageni anatia Aibu sana.

Hujafa hujaumbika,

Wafuatao unawajua?
Mugabe
Zuma
Kibaki
Obasanjo
Pinda
Seif Ali Idd
N.k
Mbona walikuwepo na wengine bado wapo na hatuoni aibu?

Haya wewe mwenye sura nzuri ni Waziri Mkuu wa nchi gani?
 
kwa hiyo miji yenye mzunguko mkubwa wa pesa na mahitaji makubwa yanayowafanya wafanye biashara usiku kucha ni wazinzi? Hujui uzinzi hata mchana unafanyika sana pengine kuliko usiku? Nenda bunda sokoni au stendi mpya uone wana wa bunda wenye mimba za utotoni, wanahongana madegele na kitini cha udaga,fasta wanaingia gesti

daah kumbe bunda kuna huduma za kijamii,kuna maeneo sitak hata kuyajua tanzania hii,bunda huko mbaaaaali na nchi,
 
Hujafa hujaumbika,

Wafuatao unawajua?
Mugabe
Zuma
Kibaki
Obasanjo
Pinda
Seif Ali Idd
N.k
Mbona walikuwepo na wengine bado wapo na hatuoni aibu?

Haya wewe mwenye sura nzuri ni Waziri Mkuu wa nchi gani?

kuna watu waliupata urais kwa kigezo cha sura nzuri,,,leo weengi walomchagua wanalia tu
 
Back
Top Bottom