iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,941
naona wasira kawapandishia mishahara ma-shamba boi wake,kawanunulia na simu zenye internet, haya endelea kusifia janga eti nae ni the best,kajaa maneno tupu ambayo hayamsaidii mwana bunda,nninachoona hapa ni ushabiki na hoja mfu, tangaza nia ya kugombea ili ushindane na wassira uone utakavyoabika.
Wassira ni moto wa kuotea mbali, mwelevu,mweledi,na bingwa wa siasa za majukwaani, akiweka jina 2015 kwenye kapu kuu lazima watafutane.