Stephen Wassira: Mwanasiasa mwenye msimamo thabiti

Stephen Wassira: Mwanasiasa mwenye msimamo thabiti

kuna watu waliupata urais kwa kigezo cha sura nzuri,,,leo weengi walomchagua wanalia tu

Kwa kweli sura sio kigezo, hapa ni vyema tukaweka vigezo vya sera na uwezo wa mtu.

Mfano Mgombea atasaidiaje kundi la vijana.

Akina mama ambao ni Vulnerable group kuhusu Afya,Maji na Elimu 'mtu' huyo atasimamiaje wapate haki hizo na usawa wa kijinsia na haki zingine.

Watoto ambao ni taifa lijalo je wanasaidiwaje kuwaandalia Elimu bora na kuwarithisha Taifa lililo bora.

Amani na mshikamano wa Nchi yetu vitakuwa katika hali gani kama "FULANI" atakuwa na mamlaka ya kuongoza Nchi.

Uchumi wa Nchi, na Raslimali zetu zitzlindwaje kama mtu huyo atakua kiongozi wetu.

Haki za watumishi wa Umma na makundi mengine kama Wakulima watapataje gawiwo lao kwa haki yao.

Sauti ya wanyonge na watu wanaofanana na hao.

Tunahitaji mtu thabiti sio sura yake!
 
Wewe ni wa kuhurumiwa tu,unachokisema hukijui.
Huyo dada huko vijijini hawamjui ni mtu wa Magazeti tu.
Ahsante kwa taarifa, na pole kwa kunihurumia nimefarijika, AHSANTE
 
Ahsante kwa taarifa, na pole kwa kunihurumia nimefarijika, AHSANTE

Ahsante kushukuru!
Ukiendelea hivyo utakuwa kijana mwelevu na makini.
Karibu Chalinze tuwakomeshe wale tuliowapa kichapo kule Kalenga.
 
Back
Top Bottom