Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,464
- 6,775
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuanzia sasa hadi Oktoba mwaka huu kazi kubwa ya Chama ni kuhakikisha inakamata dola kwa nguvu ya wananchi.
Amesisitiza kwamba CCM haitegei Jeshi la Polisi kushinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wasira aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani cha wanachama na viongozi wa CCM Wilaya ya Nzega na Igunga mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kueleza maazimio ya mkutano mkuu maalum uliompitisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesisitiza kwamba CCM haitegei Jeshi la Polisi kushinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae mwaka huu.
Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wasira aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani cha wanachama na viongozi wa CCM Wilaya ya Nzega na Igunga mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kueleza maazimio ya mkutano mkuu maalum uliompitisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka huu.