Inchi haichafuliwi ndivyo ilivyo....kumbuka kijiko ni kijiko wala kijiko hakiwezi kuitwa beleshiRais hana muda kupoteza kujibizana na watu wasiojielewa. Jitu linatembea kuichafua nchi kila mahali sasa naye Rais azunguke kila chombo kujibizana na lisu? Umemshawishi mwandishi ili ufurahishe nafsi yako? Ahojiwe asijiwe nchi ina mambo mengi ya maendeleo ya kufanya sio kufurahisha mipasho.
Sent using Jamii Forums mobile app