Ukitaka kumpanikisha muulize alipataje phdPamoja na muda mkuu mh hawez kabisa hilo halina ubishi......Ukiondoa ugumu wa lugha ya malkia kwake,ni too emotional anapanic haraka hvyo hawez kumudu wala kusogea eneo hilo
anaweza kumwagiza toto lake msambwanda likutane na musiba kukutwanga malisasi. Mungu aendelee kumponya majeraha yote mh TALUkitaka kumpanikisha muulize alipataje phd
Uwanja Wa ndege chato unamsaidia mini huyo bibiRais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.
HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikuelezea naweza jaza server ila nikushauri tu jaribu kupitia kitu inaitwa multiplier effect.Uwanja Wa ndege chato unamsaidia mini huyo bibi
Magufuli si mzungumzaji mzuri. Mambo ya mahojiano ni kumuonea tu.
Hakizungumzwi duniani kote ila ndiyo lugha rasmi duniani kote, china kwenyewe kwa upande wa judiciary ni kiinglish ndio lugha rasmiKiinglishi ingekuwa lugha ya maana basi dunia nzima wangekuwa wanakiongea kama lugha yao ya taifa. Acha kuwa mtumwa kwenye nchi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
KINGEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!
Hicho kipindi kinaendeshwa kwa "kizungu" lugha ambayo huyo Jiwe wenu ni mweupe!
Kwa hiyo hawezi kukubali hata kidogo.....
Mkuu, sio makamanda, ni Stephen Sackur. Huyu ndio inabidi tumwandame aache kabisa mpango wa kumhoji
Rais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.
HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwan akienda shida iko wapi? Watakutuaminisha kila anachokifanya kina manufaaa Kwa bibi yako huko shamba?Rais hana huo muda wa kukaa anahojiwa na vyombo vya habari.
Rais wetu anamambo mengi muhimu ya kufanya kulinganisha na hicho mlichoomba.
HAYO MAHOJIANO YATAMSAIDIA NINI BIBI YANGU KULE KIJIJINI?
Sent using Jamii Forums mobile app