Narudia tena , ni upuuzi kupeleka stend maporini bila kufanya upembuz ya kinifu wa kujua shida ipo wap, ni upuuzi mkubwa na hii inaonyesha namna gan waafrica tuna ufinyu wa matumizi ya akli, et kuongeza ajira na kupanua mji, sababu za kitoto kabisa, tuna viongozi local sana, ili stendi ifanye vizur kuna vitu vya kuangalia, na sio kuhamisha tu maporini Kwa sababu za kihuni za kupanua mji na kuongeza ajira,
Hvi mtu huwez kujiuliza, Kwa nn stendi ilikuwa mjin Kati, badae ikahamishwa mwanzo wa mji, leo mji umekuwa unaitoa tena kuhamisha maporini, na believe me after 20 yrs utahamisha tena kama hutachekecha akli kujua tatizo liko wap...
Wazungu wanasema, hata kama uwe na barabara pana kias gani , kama huna feeder road huwez kukwepa traffic jam,
Huwez kulazimisha stend moja itoshe magar yote hyo haipo, utaendelea kuhamisha hamisha , mwisho wa siku utafika mafinga,... Kama mji una njia kuu tatu za kutokea, lazima uwe na stendi tatu ( kila njia na stendi yake) na kila stend igawanywe kulingana na masafa ya magari, stendi ni mahali pa gar kushusha abiria au kupakia na kusepa, sio sehemu ya parking,.... Kuweka stendi kubwa maporini hakuwez saidia lolote, baada ya miaka 20 hyo stendi wataanza kufikria kuihamisha, na sa hv watu watakuwa wanademand kushushwa kituo cha mwisho Kabla ya kuingia mjini ili kukwepa adha ya kwenda stendi....
Kuna factor lazima ziangaliwe ili stendi ikae mkao, hata waliojenga stendi hz ambazo tunahamisha na wao walikuwa na mawazo haya haya , lakn leo wanaonekana kama walikuwa wanacheza