Stendi mpya Iringa ni usumbufu mtupu

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,129
4,469
Nilikuwa nafurahia kuona stand imehamishwa kwenda Igumbilo niliona ni jambo jema mana mjini pale palikuwa pamejaa lakini sikujua kama huduma ya usafiri imegeuka kuwa kero kwa wasafiri

Jana wakati narudi kutokea Mbeya mimi nakaa Ipogolo nalazimishwa nikashushiwe stand bila sababu za msingi sijui hili jambo hili limefanywa hivi kwa faida ya nani kupelekwa kule ikabidi nitumie gharama mara mbili tena hapo hapo na mizigo yani stand imegeuka kuwa kero wa wasafiri ni bora ingerudi tu huku mjini imegeuka kuwa kero
 
Unapotoka mbeya au ukanda huo kubali kushukia kitwiru unless lazma igumbilo unapotoka ukanda wa dom lazma ushuke kihesa
Pole sana. Utazoea tu na utaona kawaida.
Nachojiuliza mimi utaratibu huu umewekwa kwa faida ya nani sababu hakun ulazima kulazimisha abiria kushushiwa mpaka stend swaa la kuamishwa stendi sio tatizo [/QUOTE]
 
Maendeleo hayana chama
Ni usumbufu kweli lakini tutaona faida yake baada ya miaka kadhaa
Pale igumbilo waje wawekezaji wajenge hotel,nyumba za kulala wageni,na sehemu za starehe patachangamka
 
Maendeleo hayana chama
Ni usumbufu kweli lakini tutaona faida yake baada ya miaka kadhaa
Pale igumbilo waje wawekezaji wajenge hotel,nyumba za kulala wageni,na sehemu za starehe patachangamka
 
Kuhamisha stendi maporini ni ujinga na ujuha wa hali ya juu, kuna wajinga wengine kule Mwanza wanataka wahamishe stendi zote maporini wakat kuna maeneo konki ya waz mengi tu mjini, unapeleka stend km 20 away from city center kweli
 
Kijana usiwe unafikiri leo tu stend siyo kwa mahtaji ya sasa tu ni endelevu

Stand itatumika zaidi ya miaka 30

Watu wanatakiwa waifuate stand km huwezi kuifuata susia
Kuhamisha stendi maporini ni ujinga na ujuha wa hali ya juu, kuna wajinga wengine kule Mwanza wanataka wahamishe stendi zote maporini wakat kuna maeneo konki ya waz mengi tu mjini, unapeleka stend km 20 away from city center kweli
 
Kuhamisha stendi maporini ni ujinga na ujuha wa hali ya juu, kuna wajinga wengine kule Mwanza wanataka wahamishe stendi zote maporini wakat kuna maeneo konki ya waz mengi tu mjini, unapeleka stend km 20 away from city center kweli
Ndugu zetu wa mikoani mmezoea kila kitu hapo hapo center wenyewe mnaita mjini. Huku Daslam tushazoea kila sehemu mjini. Miaka hiyo stendi ya mabasi ya mkoa ilikua Kamata. Ikapelekwa Ubungo, na tungekua na uongozi sahihi. Saa hizi tungekua tunapandia mabasi sijui mbezi huko.
Acheni miji itanuke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom