Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,759
- 50,841
Kuhamisha stendi maporini ni ujinga na ujuha wa hali ya juu, kuna wajinga wengine kule Mwanza wanataka wahamishe stendi zote maporini wakat kuna maeneo konki ya waz mengi tu mjini, unapeleka stend km 20 away from city center kweli
Labda wanaiga utaratibu wa viwanja vya ndege kuwa nje ya miji