mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,657
Mbona ela ndogo sana iyo.F-22 mpaka imekamilika imetumia Dola bilion 57 na Su-57 ya warusi imetumia dola bilioni 11.sasa iyo ela si ya kuunda kiti chake tu bado ndege yenyeweJapan ni miongoni mwa mataifa machache yenye mpango wa uundwaji wa ndege mahususi za stealth ambapo uzalishwaji wake utaanza mwaka 2031, miaka takribani 11 ijayo.
Wizara ya Ulinzi ya Japan imekwisha tenga dola za Kimarekani milioni 102 katika bajeti ya mwaka huu sawa na shilingi za Kitanzania takribani bilioni 237 kwa ajili ya utekelezwaji wa mpango huo sambamba na gharama zingine. Ndege hizo zitaanza kutumika rasmi panapo mwaka 2035 baada ya uzalishwaji wake.
View attachment 1503728