Mi kunq jamaa alishataka kiniingiza na nikishakubaki. Nilichomoq dakika ya mwisho. Haikupita siku na serikali ikaipiga marufuku. Nilipomuuliza akasema hiyo ni vita ya mabenki hawataki coins kwasababu ni competitor wao. Nilipata ushauri kwa ndugu yangu yuko benki na kunizuia nisijiingeze kwenye huo mchezo maana ni version ya upatu tu. Na kweli ni kama ilinisaidia.
Ahsante. Ila baadae akajiingiza mke wangu kwenye D 9. Nilimkataza hakutaka kunisikiliza. Matokeo walipata hasara na serikali kuipiga marufuku. Kila siku walikuwa wanadanganywa boss wa D 9 anakuja na ndo anasubiriwa. Mwishowe walijua kwamba ndo wameliwa.Shukuru Mungu Mkuu.
Andika unachokijua wewe kuhusu hio Coin sio kutoa Povu na Copy and paste mawazo ya watu wengineTatizo kubwa la Watanzania wengi ni kujifanya wanajua kila kitu hata yale ambayo hawajui chochote. Watawabishia hata wataalam waliobobea kwenye sector za finance na economy kwenye hii issue ya Bitcoin. Kaa mbali Mkuu na hii bahati nasibu ya upofu.
The last person into a speculative frenzy such as bitcoin never gets out before it's too late
Ron Insana | @rinsana
Published 20 Hours Ago Updated 20 Hours AgoCNBC.com
- I'm certainly more than a little miffed that I didn't follow the lead of one of my friends who bought bitcoin at $300.
- However, I'm also happy that I didn't follow another friend who got to the party just as the punch bowl was taken away.
- Trees don't grow to the sky, as they say on Wall Street. And the last person into a speculative frenzy never gets out before it's too late.
Christophe Morin | Bloomberg | Getty Images
A customer enters the offices of La Maison du Bitcoin bank in Paris, France.
A few nights ago I got a phone call from the mother of one of my son's friends. She is a child psychologist, and her husband works in IT for a major bank.
She had been discussing cryptocurrencies with her husband, and they decided it might be a good idea to consult with me before taking a flier on one or two of the lesser known cryptos that had not yet rallied as much as bitcoin, bitcoin cash, litecoin or ethereum.
I expressed my long-held concerns about this "asset class" and suggested that if they decided to invest (speculate) in the one or two they were exploring that they should do it with money they could afford to lose.
I looked at the two they were thinking of getting into, took $5,000 and decided that, what the hell, I probably should take a swing myself, knowing a few people personally who have made a fortune in bitcoin.
The two currencies I examined were priced in the pennies. I thought if I bought one of the least expensive offerings, I could control 50,000 coins. If it were simply to rise to $100 per coin, I'd gross $5 million. A king's ransom for a few days', weeks', months' or even a year's work.
Then I thought a little more. Having failed to make a Rip Van Winklevoss billion, as I slept through bitcoin's 10-year rally, I surmised that such a purchase on my part would absolutely mark a top in the cryptocurrency craze.
I've seen this movie before. At the height of the internet bubble, some of my colleagues and I were trying to decide if we should remain as business journalists on cable television, or join some of our colleagues in start-up dot.com ventures that focused on web-delivered business news.
Thankfully, many of us were bound to contracts and couldn't simply leave our posts to join the young and restless.
One of our colleagues, from another service, had joined a start-up business site and was worth $9 million the very first day that dotcom went public.
When he left a couple years later, that $9 million was worth about $100,000. In the interim, we had kept our jobs, gotten raises and bonuses and, most important, had dodged a bullet that all but killed those who ran to make their instant fortunes.
As I write this, bitcoin has gone through its fifth 30-plus-percent correction this year. While prices remain fluid, the main cryptocurrency has lost as much as 45 percent of its value this week alone.
In the "old days" we'd call that a crash.
The key question, now that we know that litecoin's founder dumped his whole stash; now that futures have made the price of bitcoin move in more than one direction; and now that the margin buyer has entered the market, is whether the bubble has burst, or if this is just the big pause that refreshes.
Certainly, the underlying blockchain technology is not only disruptive to financial systems, but also likely a transformational technology that will radically alter the speed, efficiency, cost and transparency around all manner of financial transactions.
But will cryptocurrencies themselves be a required component of this new functionality? The Federal Reserve and the Treasury can borrow the technology to create "digital dollars," which have all the attendant prerequisites to be considered legal tender.
As yet, bitcoin and other cryptos lack the three defining characteristics of money: a unit of account; a medium of exchange, and a storehouse of value.
Cryptocurrency enthusiasts argued that bitcoin and the like, at the very least, represented the latter, calling bitcoin "millennial gold."
Even that barbarous relic has had its share of speculative episodes, the most memorable in the 1970s and early '80s and then again in the mid-2000s.
Nothing goes up forever. Trees don't grow to the sky, as they say on Wall Street. And the last person into a speculative frenzy never gets out before it's too late.
Happily, I followed my own advice and didn't play this late in the game. I'm certainly more than a little miffed that I didn't follow the lead of one of my friends who bought bitcoin at $300.
However, I'm also happy that I didn't follow another friend who got to the party just as the punch bowl was taken away.
Andika unachokijua wewe kuhusu hio Coin sio kutoa Povu na Copy and paste mawazo ya watu wengine
Sasa wewe hujui kitu waite hao watalamu tuongee nao kwa Hoja sio wewe Kilaza usio na Abc juu ya hili, Yani ni sawa wewe uagizwe kusemea mambo ya Engineering wakati umesoma Political science, PatheticAcha upumbavu wewe! Ndiyo sababu kuna wataalam mbali mbali katika kila Sekta muhimu duniani. Na wao ushauri wao husikilizwa kutokana na uzoefu mkubwa waliokuwa nao kwenye sekta husika.
Sasa wewe hujui kitu waite hao watalamu tuongee nao kwa Hoja sio wewe Kilaza usio na Abc juu ya hili, Yani ni sawa wewe uagizwe kusemea mambo ya Engineering wakati umesoma Political science, Pathetic
Ona sasa unavyotokwa na Povu sasa nikujue wewe utanisaidia nini kwa mfano? Afu Hio ya Engineering na political science nimetolea mfano sasa nashangaa mfano ndio unaubeba kama maudhui na kuutolea Povu, Wewe tulia kule kwenye siasa tu ukiendelee kumtolea Povu Mheshimiwa JPM huku kwa Bitcoin tuachie Wenyewe.Aliyekwambia sijui kitu ni nani ZWAZWA wewe? Unanijua mimi? Unajua niko katika fani ipi? Aliyekudanganya nimesomea political science ni nani mburula wewe? Au kwa kuwa naandika sana kwenye jukwaa la siasa? Acha kujibaraguza unanifahamu wakati hujui lolote kuhusu mimi mpuuzi mkubwa.
Ficha upumbavu wako hadharani.
Ona sasa unavyotokwa na Povu sasa nikujue wewe utanisaidia nini kwa mfano? Afu Hio ya Engineering na political science nimetolea mfano sasa nashangaa mfano ndio unaubeba kama maudhui na kuutolea Povu, Wewe tulia kule kwenye siasa tu ukiendelee kumtolea Povu Mheshimiwa JPM huku kwa Bitcoin tuachie Wenyewe.
Mujini ujanja ujanja Mkuu. Watu wameshatengeneza mabulungutu kupitia hii kitu, ila kama watu wengi watalizwa katika nchi nyingi duniani wanaweza kumfungulia mashtaka muhusika/wahusika ili wafilisiwe.
Hahaha wewe jamaa huna lolote sasa nikujue wewe ili iweje sasa? Hujui hata mantiki ya kutumia fake ID? Next time uache kuokoteza Articles na Kuzi paste umu bila ata kuzipitia, Uache ujuaji wa kila kitu ambavo huvijui kaa kimya tuu.Kwa akili yako fupi huwezi ukaja na mfano mfu wakati hujui lolote kuhusu mimi. Ndiyo tatizo la kukurupuka kutaka kujibaraguza unanijua wakati hujui lolote kuhusu mimi au fani ambayo naitumikia. Acha kukurupuka na kurukia watu usiowajua kwa kupiga ramli zako.
Kama hujui kitu kwenye mjadala husika pita kimya kimya ili kuficha ujuha wako.
Hahaha wewe jamaa huna lolote sasa nikujue wewe ili iweje sasa? Hujui hata mantiki ya kutumia fake ID? Next time uache kuokoteza Articles na Kuzi paste umu bila ata kuzipitia, Uache ujuaji wa kila kitu ambavo huvijui kaa kimya tuu.
Anyway wewe unanilia tu muda wangu unajua kama unaoga mtoni kichaa akachukua nguo zako then ukaanza kumkimbiza basi unaemkimbiza ndo unaonekana chizi. wacha nikuupuzeNdiyo tatizo la akili finyu, wapi nilipoandika mie najua kila kitu mburula wewe!? Huwa sikurupuki ninapoandika chochote humu. Na vile ambavyo sivijui kwa taarifa yako pimbi wewe huwezi kuniona huko hivyo acha uongo wako wa kudai kwamba mie nimewahi kuandika najua kila kitu. Eti tuachie Bitcoin yetu! Bitcoin yenu wewe na nani taahira wewe? Hivi unajua madhumuni ya JF kuwepo?
Narudia tena ujuha wako kaa nao mwenyewe siyo humu.
Identity ya muasisi wa Bitcoin haijulikani! Ana jina la kijapan but sura haijulikani!
Anyway wewe unanilia tu muda wangu unajua kama unaoga mtoni kichaa akachukua nguo zako then ukaanza kumkimbiza basi unaemkimbiza ndo unaonekana chizi. wacha nikuupuze
I agree with you by a 101%Mkuu BAK naamin kabisa wewe ni mtu smart sana,
Na kabla ya kufanya chochote huwa unajiridhisha kwanza kwa data na kautafiti kidogo,
Unanisikitisha sana unaposema huu ni utapeli,
Nilitegemea ulete graph za bitcon kila mwezi december na january ili ulinganishe na kinachoendelea sasa
Mwishoni mwa mwaka na mwanzoni mwaka bitcon huwa inashuka sijajua kwanini
Kiuhalisia bitcoin huenda mpaka April 2018 itakuwa ipo juu sasa probably $30000,
Nakwenda kukutafutia data sheikh wangu