Statement: Positive results from Buzwagi processing trial

Poa tu !
 
Poa tu !
 
Hiyo kopa ikinyeshewa mvua inatengeneza kopa oxide ambayo ni kutu, na ichanganyikana na salfa unapata kopa oksaidi ambayo ni hewa ya sumu na hutawanya mawimbi ya mvua kuanzia sasa tusitegemee kuvuna chochote kanda ya ziwa labda tuanze kulima tende.
Wazo zuri, tende tunaagiza nje hivyo tutaokoa fedha za kigeni
 
Poa tu, wacha tuongeze tozo ya hicho wanacho chenjua.
 
Those are corporate action, recapturing the lost faith of its shareholders whilst preventing slump fall of its share price in financial markets
 
Hebu jielekeze kwenye taarifa ya uzalishaji acha kulalamika tu.
Huo ni uthibitisho kuwa mchanga una dhahabu nyingi sana kama professor Mruma alivyobainisha
.....hao ni mpaka Lissu aseme !
 
Hawa ACACCIA si ni wezi?, tunaendelea vipi kuwaruhusu wachakate dhahabu kwa njia nyingine?. Mimi nilidhani mwizi anapaswa kupigwa full-stop kukaribia mali ilipo!
 
Udhibiti uimarishwe kwenye usafirishaji wa gold bars, zote zihakikiwe DSM kabla ya export.
Binadamu hubadili mbinu kila siku kutimiza lengo lake (Jema au baya).
 
Nyumbu sikulaumu, ndio uwezo wa kufikiri ulipofikia.
Tutakutana 2020
Ni upumbavu kutetea kitendo cha Rais kufunfisha watu kukwepa kodi! Ni upumbavu zaidi kutumia kigezo cha unyonge wa mkulima! Mkulima anayezalisha zaidi ya tani 1 ana unyonge gani? Yaani hata mkulima anayezalisha tani 100 naye ni mnyonge? Kwa kifupi mkulima hata akizalisha tani 1000, kwa maelekezo na mafundisho ya Magufuli ataweza kukwepa kodi kwa kusafirisha mzigo kidogo kidogo. Halafu wewe unaona sawa? Neno pumbavu ni stahili yako kabisa.

Pili, kulipa kodi (haswa income tax) uifanya serikali kuwa responsible kwa wananchi wake. Na mwananchi kuwa na haki ya kuisema serikali. Sasa mtu asipolipa hawezi kuwa na uchungu na nchi yake hata kidogo! Kwa mtu mpumbavu atafurahia hili, pasipokufahamu kwamba mwanasiasa Magufuli anataka wakulima wasiwe responsible citizens ambao serikali inapaswa kuwajibika kwao.

Hivi huoni huo mkanganyiko?
Btw, mwambie Magufuli naye aanze kulipa kodi. Siyo ana free ride tu na sisi walipa kodi kumgharamia kila kitu, halafu bado anafanya ufisadi Ikulu! Ptuuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…