Easymutant R I P Jun 3, 2010 2,564 1,129 Mar 5, 2011 #1 View attachment 24378 Anahitaji nyingi sana za hivi
K kukubata Member Oct 9, 2010 69 0 Mar 5, 2011 #3 keli huyo jk ndio anafaha kupewa cheti cha uchakachuaji
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Mar 5, 2011 #5 Mh!mtaalamu wa kuchakachua aliyebobea!!
M Mtaalaamuna Member Feb 19, 2011 21 0 Mar 5, 2011 #6 Hii ilikua udom je udom ishafikia kutoa shahada ya uzamivu??? Ndo maana wana mchakachua na yeye
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Mar 5, 2011 #7 daaah mkuuu hiii kubwa kuliko...................
NICK2275 JF-Expert Member Oct 31, 2010 3,931 918 Mar 5, 2011 #8 Easymutant said: View attachment 24378 Anahitaji inyingi sana za hivi Click to expand... mmhhh...!
batadume Senior Member Mar 4, 2011 101 7 Mar 6, 2011 #11 duuuuuuuuu hilo dongo, ila jk haja stuka kweli huyu ni mbumbumbu!!!!!!!!!!!!!!!!
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Mar 6, 2011 #12 Cant u bring us someting new?!, acha kurudia post za watu.
Negrodemus JF-Expert Member Dec 30, 2010 2,316 677 Mar 6, 2011 #13 mi hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kichwa cha panz Senior Member Dec 22, 2010 132 29 Mar 8, 2011 #16 Imetulia mkuu... Bado shahada zingine zinakuja mana huyu jamaa ni muhhitimu wa kila nyanja...:blah:
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,603 Mar 8, 2011 #17 Shahada za siku hizi Mardadi saana, mardadi saana, mardadi saana! Kikwete, Mkapa, wachakachuaji, Mardadi saana Hii kali mkuu, nitaiweka kumbukumbu kwa wajukuu zangu!
Shahada za siku hizi Mardadi saana, mardadi saana, mardadi saana! Kikwete, Mkapa, wachakachuaji, Mardadi saana Hii kali mkuu, nitaiweka kumbukumbu kwa wajukuu zangu!