Startimes wameondoa 'free channels'

Startimes wameondoa 'free channels'

Nimekaaaaa nkatafakari Kwanini ving'amzi vya startimes wameamua kuondoa kimaksudi kabisa channel zote za ndani na kubakiza channel moja tu ya TBC1.

Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.

Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Raisi Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.
Halafu Cha ajabu hawapokei simu za huduma kwa mteja sijui wametoa namba za nini
 
Nimekaaaaa nkatafakari Kwanini ving'amzi vya startimes wameamua kuondoa kimaksudi kabisa channel zote za ndani na kubakiza channel moja tu ya TBC1.

Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.

Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Raisi Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.
TCRA nyie ni wanachama wenzetù hapa jukwaani na nyie ndio waratibu wa huduma zote za mawasiliano nchini, kwanini Star Times wametuondolea channels za bure?
 
Nimekaaaaa nkatafakari Kwanini ving'amzi vya startimes wameamua kuondoa kimaksudi kabisa channel zote za ndani na kubakiza channel moja tu ya TBC1.

Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.

Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Raisi Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.
Serikali gani yakuingilia kati? Kwani umesahau kipindi cha Magufuli wakishindwana wapi nao watu? Samia unadhani ndo atafanya kweli? Aaah wapi!
 
Back
Top Bottom