Startimes wameondoa 'free channels'

Startimes wameondoa 'free channels'

Nimekaaaaa nkatafakari Kwanini ving'amzi vya startimes wameamua kuondoa kimaksudi kabisa channel zote za ndani na kubakiza channel moja tu ya TBC1.

Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.

Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Raisi Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.
Ni jambo jema, itasaidia kuupdate ubongo wa Watanganyika, walipe tu.
 
Issue sio kutaka vya Bure Kwa nn star times waziondoe bila taaarfa na sababu Kwa wateja Wake huku ving'amzi vingne vikipewa free channels?
Wakati wanaleta mitambo yao walikutaarifu?Mkae kwa utulivu au lipia chaneli.Hamna maujanjaujanja.Tuchezee mboko tu.😂😂😂😂
 
Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.
Ukiwagusa umegusa sharubu za simba
 
Back
Top Bottom