dafuzima
Member
- Apr 8, 2018
- 92
- 67
Nimekaaaaa nikatafakari kwanini ving'amzi vya startimes wameamua kuondoa kimaksudi kabisa channel zote za ndani na kubakiza channel moja tu ya TBC1.
Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.
Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Rais Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.
Ukiwapigia wanakujibu wajuavyo tu bila kujua wanavunja Sheria imeniuma Sana, yaaaan ving'amuzi vyote Tanzania wanaonesha free channels ila wao wanajifanya kuvimba vichwa, huu ni mwezi wa nne Sasa toka wazifute, ohhh my Tanzania.
Tunaomba katika Hili serikali iliingilie kati channel zirudi Kwa wote watumiao startimes ili haki iwe sawa Kwa wote, Rais Samia, plse tuma watu wako ili wakalitizame na Hilo Tena Kwa uharaka zaidi.

