StarTimes Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 260
- 140
- Thread starter
- #1,881
Ndio. KaribuHabari wakuu,hv naweza kutumia dish la Dstv kwenye king'amuzi cha startimes??
Ndio. KaribuHabari wakuu,hv naweza kutumia dish la Dstv kwenye king'amuzi cha startimes??
Karibu sana startimeaHongera sana na ahsanteni statimes.
Mmenitendea haki sana leo.
1. Jana nilifanya malipo ya kifurushi cha 21000 bahati mbaya nikakosea tarakimu ya mwisho ya smatcard. Kwa vile nililipia kwa nmb mobile niliona ujumbe wa nmb mobile kuwa nimelipia kifurushi cha ststimes ila bado chanels hazikufunguka.
Leo jumapili nikawapigia na wakapokea haraka. Baada ya kukagua akaunt yangu ikaonekana haijaingia pesa yoyote. Basi muhudumu akaniambia huenda nimelipia akaunti isioyenyewe, basi kweli ikabidi nirudi kwenye statement za malipo ya nmb na kugundu nilifanya kosa la namba moja ya mwisho haikuwa sahihi.
Kuwapigia mara ya pili nikapokelewa haraka, na kujibu maswali kadhaa na kuahidiwa kurudishiwa malipo kwenye akaunti yangu.
Haikupita dk 10 watoto wanachekelea wananiambia baba tayari!
Big up bazee ba statimes
tunafanya maboresho kwenye njia za malipo hivi karibuni kutakuwa na mabadilikoStartimes hamna majibu humu hivi kwanini msiwe specific mpaka kupigiana simu,mfano nataka kuunga kifurushi mpaka mpigiwe, nadhani kuwe na chaguo katika mfumo wa ulipaji kifurushi, mfano kwa m-pesa nikisha ingiza namba ya smart card ije viwango vya kulipia na majina ya vifurushi,mwisho naomba kufahamu kifurushi cha wiki cha smart ni shilingi ngapi.
Ndio mkuiHabari wakuu,hv naweza kutumia dish la Dstv kwenye king'amuzi cha startimes??
Dish au Antenna?Habari ......naomba muongozo kuhusu bei ya vifurushi vyenu,kuanzia wiki hadi mwezi ni shilingi ngapi????
Halafu kwenye kisimbuzi chenu amna channel ten plus???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki elfu 11 na mia 5, Mwezi elfu 20 na Moja.
Sidhani,Huwa Wana acha
Ahsante sana,nimeelewa sasa,nillipa 5000 wakaniambia niongeze 7000 cha wikiWiki elfu 11 na mia 5, Mwezi elfu 20 na Moja.
Hicho Cha elfu 21 mwezi ni kidogo,Kipo mpaka Cha elfu 36 mwezi,Elfu 43 mpaka 96 ambavyo ni vikubwa.
Channel 10+ hakuna
Kwetu wanaachaga hizoSidhani,Huwa Wana acha
TBC1
CHANNEL 10
STAR TV
Tz SAFARI CHANNEL( TBC3)
ZBC
EATV
Akiwasiliana nao,WatamrekebishiaKwetu wanaachaga hizo
Lakini kuna best yangu kwao wanawaachia safari tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona zipo mie naangalia royo tua muda huu na channel ten.Mmeondoa local chaneli kwenye visimbuzi vyenu.!?