GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 598
- 852
maduka yanapatikana wap?
Unapatikana mkoa gani tafadhari?maduka yanapatikana wap?
Dar es salaamUnapatikana mkoa gani tafadhari?
He unaishi wapi na unapata ujumbe gani kwa tv yako)?Kisimbuzi changu kinawaka lakini hakipeleki signal kwenye TV...je mnaweza kunitengenezea bure?
Sasa mbona mmetoa MTV BASE, E.TV ILE YA SOUTH AFRICA, SIBUKA HAIONYESHI... MZIRUDISHE AISEHHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Hata Mimi hizo channel hakunaSioni dizzim tv na channel 10 plus kwa siku kadhaa,ni mimi tu au mmeamua kuziondoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari maduka yetu yapo ftiends corner na FloridaMimi natokea kijiji huku Arusha je duka lenu lipo sehemu gani jijini Arusha nipate kisimbusi cha dish kwa bei mnayotangaza ya 79,000/=?
Friend Corner sio,asanteHabari maduka yetu yapo ftiends corner na Florida
KaribuFriend Corner sio,asante
Habari zenu wanaJamiiForums Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu? Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi. 1. Utaje tatizo lako 2. Taja sehemu unayoishi 3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard! STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu. kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800 Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Habari zenu wanaJamiiForums Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu? Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi. 1. Utaje tatizo lako 2. Taja sehemu unayoishi 3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard! STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu. kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800 Ahsanteni sana na karibuni nyote.
NAOMBA KUJUA BEI YA VIFURUSHI VYENU NA NAMNA YA KUJIUNGAHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Unatk kuniambia ninavy angaria mpira nafanya makosaTV 1 ilishafilisika jomba na kufungwa kitambo, fuatilia matukio ya nchi yako ndugu mwananchi. Asante