Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

No ya kadi ni 018 1938 4190. Nimekuwa nacharge tsh 9000 nilivyoelekezwa na mtumishi wenu mwenye simu no 0769025898. Ila nashindwa kuelewa muda wa kifurushi ni siku ngapi. Mfanyakazi huyu aliniambia ni mwezi mmoja. Lakini kila mara baada ya wiki 2 au 3 kifurushi kinaisha. Nashindwa kujua tatizo ni nini? Na sasa hata hiyo no ya simu nikipiga naambiwa haipatikani. Mf niliweka kifurushi mara ya mwisho tarehe 8 March 2017 nikaambiwa kifurushi kitaisha tarehe 5 June. Lakini tangu wiki iliyopita kama tarehe 19 kifurushi kilishakata. Ndo nafanyaje maana sasa naenda kwa majirani kutafuta habari.

Mbona Kimya Star Times vipi hata hapa JF nako hakuna msaada???
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Mimi nafurahia sana huduma zenu hata hivo kasoro ninayoiona ni kuhusu upande wa radio chanels zaTanzania hamna Mimi naomba kama inawezekana tuwekewe local chanels za radio za hapa Tanzania
 
SASA KAMA MNASHINDWA KUYATATUA TUKIFIKA OFISINI KWENU DODOMA MTAWEZA KUTATULIA HUKU. NGOJA TUCHEKI NA AKINA AZAM AU DSTv NAKO TUONE.

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Mnajibiwa lakini maana naona mnajieleza weee sioni response. Nilijua maswali yote yanajibiwa. Kalagabaho

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Startimes mimi ni fundi wa dish nimemrekebishi mteja mwenye namba ya kadi 018194088488 5akini mpaka sasa hamjamfungulia na kifurushi kimeshasajiliwa.
 
Wadau,

Kuna siku linisikia kwa watu kuwa startimes wao siku 30 hazifiki wanakuwa wanakata, mimi nikaona kama stori tu, nikidhani kuwa system inakuwa automatic, so ikifika siku 30 inakata yenyewe. Kumbe wamekuwa wakifanya ivyo kama utamaduni wao, nilianza kushituka mwezi june nililipia bundle tarehe 8 ilipofika tarehe 1 likakata nikahisi nilichanganya tarehe, (kumbe wanakata wao).

Mwezi July nimelipa bundle tarehe 8 tena na leo WAMEKATA, so ndani ya miezi 2 wameniibia siku 14, kwa miezi 3 watakuwa wameniibia karibia mwezi 1. So hawa hawana sifa tena yakuendelea kutoa huduma. Je TCRA munalijua hili?

Je startimes hawastahili kufungiwa? Je niwangapi wanafanyia hivi nahawaja-notice?
 
Back
Top Bottom