RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Wizi ni wizi haijalishi ni nani unamuibia. Inaonekana mnataka dezo na mnaikosesha serikali mapato. Kwa maelezo yenu (kwa kupenda channel za dini) nyie sio Wakristo wazuri. Acheni hizo, mtubu na mtaokoka!!!
Inasikitisha sana watu wako busy wanadiscuss jinsi ya kuiba!tena kwenye public forum!tsh 18,000 tu mnataka kuiba mkipewa access ya billions itakuwaje??