hii fursa haijarudi tena, maana watu walifaidi vya bure
Inawezekana. Ila hakikisha signal quality inafikia 60%.Hivi si inawezekana kutumia dish la startimes na kingamuzi cha Azam? Sina utaalamu na haya mambo..
Dadavua kidogo mkuu..Inawezekana. Ila hakikisha signal quality inafikia 60%.
Ungekua fundi wa kufunga madishi ungeshanielewa. Dish kama dish ni sawa na simu, unaweka line yoyote. Dish la startimes unaweza kulitumia kudakia Dstv ama Zuku. Hali kadhalika disha la Dstv unaweza kutumia kudakia mawimbi ya Azam ama Continental and vice versa. Tofauti ipo kwenye ving'amuzi, kwa kuwa chanel zake zimedhibitiwa kwa mifumo tofauti.Dadavua kidogo mkuu..
Lakini pia ku lnb ya startimes haikamati mawimbi ukitumia receiver ya azam.Ungekua fundi wa kufunga madishi ungeshanielewa. Dish kama dish ni sawa na simu, unaweka line yoyote. Dish la startimes unaweza kulitumia kudakia Dstv ama Zuku. Hali kadhalika disha la Dstv unaweza kutumia kudakia mawimbi ya Azam ama Continental and vice versa. Tofauti ipo kwenye ving'amuzi, kwa kuwa chanel zake zimedhibitiwa kwa mifumo tofauti.
UFAFANUZI
Kwa kuwa dish la startimes ni dogo kuliko la Azam, ukilitumia kudakia azam bila kufikisha signal quality kwenye asilimia 60, chanel zitakua zinaganda ganda sana. Unapo search azam ama king'amuzi kingine chochote, kuna mahali pa kuangalia signal strength na quality. Hakikisha quality iko 60% au zaidi.
Nahisi nimeeleweka.
Inawezekana ila ubadili na lnb. Mimi ilinisumbua karibu siku tatu, nilipo badili lnb hata dakika tano hazikuisha.Hivi si inawezekana kutumia dish la startimes na kingamuzi cha Azam? Sina utaalamu na haya mambo..
Hawa Star times inabidi wabadilishe ving'amuzi vyao, ni vya kizamani, picha mbaya na hakuna option ya radio kama Azam.
Vv
Watupe japo option, mtu akitaka more advanced decoder anunue, hataki basi abaki na kile cha 2010.sasa bei ya 36,000 unategemea ubora upi?
.... wasiliana na Mwl. RCT na hiiNaomba ushauri nataka ninunue decorder au kingamuzi sasa kipi kizuri kinachoruhusu kuedit au kuaad channel au kuchakachua?
Umetisha, ni kushoto tu, OKmkuu ni kwamba kunanjia ya kuchakachua na kupata chanel 12 za ziada nenda kwenye menu kisha shuka mpaka chini kwenye itemu ya 4 bonyeza ok kisha bonyeza mchale wa kushoto bonyeza ok kwenye manual kisha andika 530 bonyeza ok itasearch chanel ikimaliza close rudi mwanzo utaona chanel zimeongezeka mpaka itv ndani karibu ktk uchakachuaji
Hii link hakuna kituu.... wasiliana na Mwl. RCT na hii https://https-www-jamiiforums-com.0...25946837445621;Afr3RlKHUCHkg9KS#post-25123716
Hii link hakuna kituu
Mimi nilienda kweny branch ili niwe napata zile local channels maana kifurushi kikata nao walikuwa wanakata chanel zote wananibakishia tbc tu hata itv walikuwa wanaikata ila baada ya kwenda kweny branch yao wakaniambia inabidi nilipie 12000 ili wanibadilishie ile card mpya wanipe inayoruhusu kuonesha local channels now baada ya kufanya hivo hata kifurushi kikiisha napata chanels 12 free zote ni local, je kuna ulazima wa kufanya hivo mnavoshaur ili nipate channels nyingi zaidi au niche.zile za mwanzo naona kama zinagoma nilijaribu kwa 530 ebu ngoja nijaribu na hizi 570