toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hawa Startimes wajifunze kuhusu vifurushi
Vifurushi ni expensive kuliko hata Zuku au Azam lakini channels ni za hovyo
Vifurushi vyao vipo juu sana na haviendani na bei
Mfano kifurushi cha Dish cha elfu 20 au antenna elfu 15 haviendani kabisa na bei channels chache na za ajabu sana halafu bei kubwa shusheni vifurushi muache tamaa hasa wakati ambao local ni bure haki ya mama hakuna atakayelipia sijui meneja mauzo wenu ni nani?
Yaani azam package ni 8000 tena ina full channels za kutosha kwa dish nyie package kama hiyo mnauza 11500 halafu channels chache na za ajabu ajabu
Mtu unalipa 11500 halafu Bbc hupati, Aljazeera hupati, fox hupati, CNN hupati unapewa CGTN TU 🤣🤣hawa wachina ni noma?
BADILIKENI NA MSHUSHE VIFURUSHI
Vifurushi ni expensive kuliko hata Zuku au Azam lakini channels ni za hovyo
Vifurushi vyao vipo juu sana na haviendani na bei
Mfano kifurushi cha Dish cha elfu 20 au antenna elfu 15 haviendani kabisa na bei channels chache na za ajabu sana halafu bei kubwa shusheni vifurushi muache tamaa hasa wakati ambao local ni bure haki ya mama hakuna atakayelipia sijui meneja mauzo wenu ni nani?
Yaani azam package ni 8000 tena ina full channels za kutosha kwa dish nyie package kama hiyo mnauza 11500 halafu channels chache na za ajabu ajabu
Mtu unalipa 11500 halafu Bbc hupati, Aljazeera hupati, fox hupati, CNN hupati unapewa CGTN TU 🤣🤣hawa wachina ni noma?
BADILIKENI NA MSHUSHE VIFURUSHI