TRACE
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 120
- 46
Ndio wanajamvi, nimeonelea niliweke hapa ingawaje yawezekana limeshawahi kujadiliwa.
Nilikuwa naangalia UBC TV na nikaona tangazo la StarTimes na nikashtuka kwa kuona lile tangazo eti labda kwa mawazo yangu nilidhani ni part ya TBC na labda kungekuwa na mechanism nyingine ya kuwafikishia products za TBC.
Na nikawaza kama ni mali ya TBC kwanini wasingetumia nembo ya TBC kutangaza hivyo ving'amuzi ili TBC ijulikane zaidi na kwanini wachina wako mbele kwenye hiyo StarTimes kuliko Wa TZ hasa katika top layer?
Ni kweli kadili ya maelezo waliyokuwa wanatupatia TBC tununue ving'amuzi ili tufurahie WorldCup 2010 na wakati 90% ya mechi au karibu zote twaziona TBC1 sio kuwahadaa walionunue bila kupata extra benefits?
Wanaandaa mazingira ya kumtajirisha nani au wamekuja kwa mgongo wa nani? Wapo kwa ajili ya Watanzania na wakitufanya kama GTV kuna sehemu ya kwenda kudai haki zetu au watauacha kama GTV?
Kama kuna sehemu nimepotoka ila kila lenye wanzo lina mwisho naomba nieleweshwe.
Nilikuwa naangalia UBC TV na nikaona tangazo la StarTimes na nikashtuka kwa kuona lile tangazo eti labda kwa mawazo yangu nilidhani ni part ya TBC na labda kungekuwa na mechanism nyingine ya kuwafikishia products za TBC.
Na nikawaza kama ni mali ya TBC kwanini wasingetumia nembo ya TBC kutangaza hivyo ving'amuzi ili TBC ijulikane zaidi na kwanini wachina wako mbele kwenye hiyo StarTimes kuliko Wa TZ hasa katika top layer?
Ni kweli kadili ya maelezo waliyokuwa wanatupatia TBC tununue ving'amuzi ili tufurahie WorldCup 2010 na wakati 90% ya mechi au karibu zote twaziona TBC1 sio kuwahadaa walionunue bila kupata extra benefits?
Wanaandaa mazingira ya kumtajirisha nani au wamekuja kwa mgongo wa nani? Wapo kwa ajili ya Watanzania na wakitufanya kama GTV kuna sehemu ya kwenda kudai haki zetu au watauacha kama GTV?
Kama kuna sehemu nimepotoka ila kila lenye wanzo lina mwisho naomba nieleweshwe.