PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi huu wa nane TBC kupitia Star Media Group ( Startime) waliongeza chanel ya Emannuel Tv.
Lakini baada ya muda wakaiondoa na kuweka chanel nyingine kitendo hicho kiliwaudhi watu wengi haswa haswa waumini wa kikristu ukizingatia wengi wao walikuwa wakiisubiri kwa hamu na wengi walishukuru sana baada ya startime kuiweka.
Kitendo cha chanel hiyo kuondolewa kilipelekea wapenzi wa chanel hiyo kwenda kwa wingi na wengine kupiga simu kutaka kujua kulikoni.
Mmoja wa watu hao ni mimi mwenyewe nikifatana na watu wengine kama wanne hivi,lakini cha kushangaza na kufurahisha zaidi baadi ya kufika Startime tulikutana na watu wengine nao walikuwa na maswali hayohayo.
Tuliungana na kuanza kumuliza mwenyeji wetu nini sababu ya kuiondoa chanel hiyo kwani ilivutia watu wengi kununua ving'amuzi na pia ilikuwa ni faida kwao kwani wengi tuliokuwa hatutumii tena ving'amuvi tulivutiwa na chanel hiyo na kuanza kuvitumia tena.
Majibu tuliyo pewa yana shangaza sana kama siyo kustaajabisha,kwanza mwenyeji huyo alituomba radhi kwa kitendo hicho na kusema kulitokea matatizo na usumbufu kwa baadi ya watu hivyo wakaamua kuiondoa.
Baada ya kumbana sana kwa maswali akageuza kibao na kutuambia kuwa wao ndio wanaoongeza chanel na kuiondoa pale wanapoona inafaa na hakuna wa kuwaingilia, mwenyeji huyo aliondoka na kutuacha na maswali yetu, kasha baada ya kama dakika mbili alirudi na kutuamba amemaliza hivyo akatutaka kuondoka.
Lakini kabla hatujaondoka alikuja mhudumu mwingine na baada ya kutukuta tunalalamika akatuuliza nini tatiza,tulimwaleza kwakuwa alionekana kidogo mstaarabu na hapo ndipo ukweli ukawekwa wazi ila alikuwa na wasiwasi sana na aliomba kutusindikiza nje ya jingo hilo huku akitutonya nini kilicho tokea.
Alitueleza kuwa lilitoka shinikizo kutoka kikundi Fulani na baada ya kuzozana nao kwa muda juu ya kuiondoa hiyo chanel kwa sababu ambazo kijana huyo aligoma kutueleza,watuhao waliondoka na kurudi tema kama mara tatu na hoja yao ilikuwa hiyohiyo.
Tulipo muuliza ni watu gani hao mvujisha siri huyo hakuwa tayari kueleza,anasema baada ya muda kupita bila kuwaona watu hao wakajua upepo umepita lakini kumbe sivyo kwani walipokea shinikizo linguine kwa barua kutoka serikalini na sasa ilikuwa siyo ombi tena bali ni lazima.
Tukamuuliza barua hiyo imesainiwa na nani kama anaweza kutueleza lakini kama kawaida hakusema bali alituambia sehemu ya barua hiyo ilieleza kuwa chanell hiyo si salama kwa usalama wa taifa hivyo iondolewe mara moja nao ikabidi waidoe kuepusha shari.tuliishia hapo na kuangana
KWA MAWAZO YAKO WEWE MTANZANIA UNAPATA PICHA GANI KATIKA HILI.JE NINI KIFANYIKE.
Lakini baada ya muda wakaiondoa na kuweka chanel nyingine kitendo hicho kiliwaudhi watu wengi haswa haswa waumini wa kikristu ukizingatia wengi wao walikuwa wakiisubiri kwa hamu na wengi walishukuru sana baada ya startime kuiweka.
Kitendo cha chanel hiyo kuondolewa kilipelekea wapenzi wa chanel hiyo kwenda kwa wingi na wengine kupiga simu kutaka kujua kulikoni.
Mmoja wa watu hao ni mimi mwenyewe nikifatana na watu wengine kama wanne hivi,lakini cha kushangaza na kufurahisha zaidi baadi ya kufika Startime tulikutana na watu wengine nao walikuwa na maswali hayohayo.
Tuliungana na kuanza kumuliza mwenyeji wetu nini sababu ya kuiondoa chanel hiyo kwani ilivutia watu wengi kununua ving'amuzi na pia ilikuwa ni faida kwao kwani wengi tuliokuwa hatutumii tena ving'amuvi tulivutiwa na chanel hiyo na kuanza kuvitumia tena.
Majibu tuliyo pewa yana shangaza sana kama siyo kustaajabisha,kwanza mwenyeji huyo alituomba radhi kwa kitendo hicho na kusema kulitokea matatizo na usumbufu kwa baadi ya watu hivyo wakaamua kuiondoa.
Baada ya kumbana sana kwa maswali akageuza kibao na kutuambia kuwa wao ndio wanaoongeza chanel na kuiondoa pale wanapoona inafaa na hakuna wa kuwaingilia, mwenyeji huyo aliondoka na kutuacha na maswali yetu, kasha baada ya kama dakika mbili alirudi na kutuamba amemaliza hivyo akatutaka kuondoka.
Lakini kabla hatujaondoka alikuja mhudumu mwingine na baada ya kutukuta tunalalamika akatuuliza nini tatiza,tulimwaleza kwakuwa alionekana kidogo mstaarabu na hapo ndipo ukweli ukawekwa wazi ila alikuwa na wasiwasi sana na aliomba kutusindikiza nje ya jingo hilo huku akitutonya nini kilicho tokea.
Alitueleza kuwa lilitoka shinikizo kutoka kikundi Fulani na baada ya kuzozana nao kwa muda juu ya kuiondoa hiyo chanel kwa sababu ambazo kijana huyo aligoma kutueleza,watuhao waliondoka na kurudi tema kama mara tatu na hoja yao ilikuwa hiyohiyo.
Tulipo muuliza ni watu gani hao mvujisha siri huyo hakuwa tayari kueleza,anasema baada ya muda kupita bila kuwaona watu hao wakajua upepo umepita lakini kumbe sivyo kwani walipokea shinikizo linguine kwa barua kutoka serikalini na sasa ilikuwa siyo ombi tena bali ni lazima.
Tukamuuliza barua hiyo imesainiwa na nani kama anaweza kutueleza lakini kama kawaida hakusema bali alituambia sehemu ya barua hiyo ilieleza kuwa chanell hiyo si salama kwa usalama wa taifa hivyo iondolewe mara moja nao ikabidi waidoe kuepusha shari.tuliishia hapo na kuangana
KWA MAWAZO YAKO WEWE MTANZANIA UNAPATA PICHA GANI KATIKA HILI.JE NINI KIFANYIKE.