Startimes ipo nyuma ya nani?

Startimes = TBC = CCM.
Hapo usitegemee ubora wowote since wanahusiana na CCM!!

Hivi hii CCM inaongozwaga na watu wasio na damu! Hawa ni majini jamani! Wanaiba kila kona jaman! Madini, BOT, TANESCO, DECI........!
 
Startimes ni mradi wa CCM kukusanya pesa kwa ajli ya uchaguzi 2015....yani ni hovyo kabisa.
 
Ndugu yangu NCHI HII ILIYO CHINI YA UTAWALA WA CCM NI NCHI MBAYA SANA KWA SASA, SABABU KUBWA YA KULETA VINGAMUZI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAKOSA MATANGAZO YANAYOHUSU CDM, NI MBINU ILIYORATIBIWA NA CCM.. Sasa usishangae yanapotokea hayo.. Na usishangae serikali ya ccm itaka kumya!
Ni ukweli usiopingika kuwa kuwaishwa kwa kuhamia digitali kulikuwa na dhana ya kiulaji, kifisadi na kutengenezea watu fulani nafasi za kazi.Vinara na waratibu wa mpango huu ni Star Times. Kuna mambo mengi ya kiudhahifu yanayothibitisha haya.1. StarTimeswmeshindwa kurusha signal zenye ubora wa kiditali. Ni madudu tu.2. Wamekuwa na miolongo mingi kuhusu upokeaji wa matangazo yao ikiwa ni pamoja na kutoa maelekezo ya kugeuza antena nk3. Star TV sasa wamejitoa na kusababisha lazima sasa ya kununua king'amzi cha Continental . Nao ITV wako njiani kujitoa ili wauze digitek.Knachochukiza sasa ni kwanini serikali ilituhakikishia kuwa free TVs zitaendelea kupatikana kupitia StarTimes na sasa wamejitoa. Hivi StarTimes wanawajibika vp?Tujadili.
 
Tusubirie kidogo tu watarejesha tena ving'amuzi kurekebishwa ka Kawambwa alivyorejesha matokeo baraza la Mitihani ili yachakatwe kwa upya. Chezea CCM wewe!!!!!!!!!!!!!
 
HEBU NIWASHE TV ..... scratches..... scratches..... scratches....

yani acha tu skrachi balaa watakua wamezima mtambo m1 either makongo au kisalawe sirikali imetuingiza mkenge na dijitale yao startimes inaboa sana ngoja nizichange niende digitek nako huko sijui itakuaje mliman nao wakijitoa? Cc TCRA
 
Last edited by a moderator:
Mnaangalia Chanel ngapi kwa siku. Mimi moja kwa ajili ya taarifa habari inatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom