mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 628
HEBU NIWASHE TV ..... scratches..... scratches..... scratches....
karibu ulimwengu wa digital!
HEBU NIWASHE TV ..... scratches..... scratches..... scratches....
Startimes = TBC = CCM.
Hapo usitegemee ubora wowote since wanahusiana na CCM!!
Ni ukweli usiopingika kuwa kuwaishwa kwa kuhamia digitali kulikuwa na dhana ya kiulaji, kifisadi na kutengenezea watu fulani nafasi za kazi.Vinara na waratibu wa mpango huu ni Star Times. Kuna mambo mengi ya kiudhahifu yanayothibitisha haya.1. StarTimeswmeshindwa kurusha signal zenye ubora wa kiditali. Ni madudu tu.2. Wamekuwa na miolongo mingi kuhusu upokeaji wa matangazo yao ikiwa ni pamoja na kutoa maelekezo ya kugeuza antena nk3. Star TV sasa wamejitoa na kusababisha lazima sasa ya kununua king'amzi cha Continental . Nao ITV wako njiani kujitoa ili wauze digitek.Knachochukiza sasa ni kwanini serikali ilituhakikishia kuwa free TVs zitaendelea kupatikana kupitia StarTimes na sasa wamejitoa. Hivi StarTimes wanawajibika vp?Tujadili.
HEBU NIWASHE TV ..... scratches..... scratches..... scratches....