Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Ninaandika hapa huku nina hasira sana. Tokea leo nimekuwa napata huu ujumbe kwenye screen ya Tv ambao hauna mashiko na uhalisia.
Nimelipia kifurushi vema na hata kama ningekuwa sijalipia sidhani kama wanatakiwa kunitumia huu ujumbe maana ni hiari yangu kulipia ama kutolipia.
Sasa shida inayonifanya kulalamika hapa ni namna huu ujumbe hauachi kudisplay kwenye screen kila baada ya dakika zisizozidi tatu. Imekuwa kero hadi hapo home wanashindwa kutazama tv.
Sasa nataka kujua kwanza je watumiaji wa startimes wengine mnakutana na hii shida au nipo pekee yangu.
Nimelipia kifurushi vema na hata kama ningekuwa sijalipia sidhani kama wanatakiwa kunitumia huu ujumbe maana ni hiari yangu kulipia ama kutolipia.
Sasa shida inayonifanya kulalamika hapa ni namna huu ujumbe hauachi kudisplay kwenye screen kila baada ya dakika zisizozidi tatu. Imekuwa kero hadi hapo home wanashindwa kutazama tv.
Sasa nataka kujua kwanza je watumiaji wa startimes wengine mnakutana na hii shida au nipo pekee yangu.

