Startimes hawafai

2015ready

JF-Expert Member
Feb 15, 2011
372
130
Ni wezi. Nimelipa kifurushi cha 24,000 lakini mwezi mzima wananidanganya kuwa, mara elekeza Antena Zanzibar, Mari ielekeze Tanga. Nimesha ongea na kupitia number ya customer service zaidi ya mara 30 lakini wananidanganya kuwa wanamtuma fundi aje anitengenezee lakini hakuna alitokea. Mara yà mwisho fundi wao kaniambia kuwa hawezi kuja hadi nimlipe pesa. Tahadhari, usisumbuke na startimes.. .. Itakula kwako.. Kama unaishi Boko Magengeni achana na startimes
 
Tafuta fundi binafsi akurekebishie , gharama ya wao kukuletea fundi inaweza kuzidi bei ya kifurushi ulichonunua.
 
Nimenunua king'amuzi kwao na fundi walimtuma wao lakini hakuwa fundi bali ni kishoka tuu... .
 
King'amuzi bora kabisa kinachoongoza hapa Tanzania na Afrika kwa sasa ni DSTV na kampuni yao ya multchoice (japo vifurushi vyao ni aghali sana maana cha juu kabisa Premium ni Tshs. 215,000/= na cha chini kabisa Access/Bomba ni Tshs. 23,500/=) kwa mwezi!

Hawa jamaa kwa kweli huduma zao ni za kiwango cha kimataifa kuanzia unaponunua na kufungiwa king'amuzi chao, ubora wa picha zao pamoja na customer care service yao ni bomba
sana!

Nadhani wanafuatiwa na Azam, Digitek na TING hakuna longo longo huko!

Nimejitolea kuwa promote bila malipo na nashauri kama una uwezo hamia kwa moja ya hawa watoa huduma wa television!
 
Naona na continental wanafuatia kwa upuuzi.. Toka wameleta kadi ni usumbufu Chanel za muhim kama itv,na hata hiyo ya star hazipatikan zaid ya wiki 2 sasa
 
Ohh mkuu nipo hapa boko nyuma ya st Joseph college of health star times haikamati wala nini mpaka nimenunua azam ndo nainjoi
 
Hivi bado kuna watanzania wananunua star times!!!!!!!?
Ni wengi mno. Ninauza electronics, wateja wengi ni wa decoder za startimes, anafuatia Azam na Digitek. Wa mwisho ni Dstv
 
King'amuzi bora kabisa kinachoongoza hapa Tanzania na Afrika kwa sasa ni DSTV na kampuni yao ya multchoice (japo vifurushi vyao ni aghali sana maana cha juu kabisa Premium ni Tshs. 215,000/= na cha chini kabisa Access/Bomba ni Tshs. 23,500/=) kwa mwezi!

Hawa jamaa kwa kweli huduma zao ni za kiwango cha kimataifa kuanzia unaponunua na kufungiwa king'amuzi chao, ubora wa picha zao pamoja na customer care service yao ni bomba
sana!

Nadhani wanafuatiwa na Azam, Digitek na TING hakuna longo longo huko!

Nimejitolea kuwa promote bila malipo na nashauri kama una uwezo hamia kwa moja ya hawa watoa huduma wa television!
Hapo unaposema wanafuatiwa na Azam,Digteck na TING naomba TING itoe kabisa
 
Ni wezi. Nimelipa kifurushi cha 24,000 lakini mwezi mzima wananidanganya kuwa, mara elekeza Antena Zanzibar, Mari ielekeze Tanga. Nimesha ongea na kupitia number ya customer service zaidi ya mara 30 lakini wananidanganya kuwa wanamtuma fundi aje anitengenezee lakini hakuna alitokea. Mara yà mwisho fundi wao kaniambia kuwa hawezi kuja hadi nimlipe pesa. Tahadhari, usisumbuke na startimes.. .. Itakula kwako.. Kama unaishi Boko Magengeni achana na startimes

ZUKU ndo mpango mzima,,ila wapunguze gharama tu za package
 
Ni wezi. Nimelipa kifurushi cha 24,000 lakini mwezi mzima wananidanganya kuwa, mara elekeza Antena Zanzibar, Mari ielekeze Tanga. Nimesha ongea na kupitia number ya customer service zaidi ya mara 30 lakini wananidanganya kuwa wanamtuma fundi aje anitengenezee lakini hakuna alitokea. Mara yà mwisho fundi wao kaniambia kuwa hawezi kuja hadi nimlipe pesa. Tahadhari, usisumbuke na startimes.. .. Itakula kwako.. Kama unaishi Boko Magengeni achana na startimes
mkuu nunua Azam kama hutaki hizi bugudha za kijingakijinga! au hata zuku hawana shida japo wao ni ghali kidogo! kazi ni kwako.
NB;sitangazi biashara ya kampuni hapa bali namshauri mleta uzi ili kuepukana na karaha zisizo na maana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom