Startimes hakuna za bure

Startimes hakuna za bure

Startimes wanabana. Usipolipia sometime wanazikata zote . Ukibahatika wanakuchagulia station tatu tu.. mimi ninapata startv, itv na eatv. Hata hiyo tbc sijaiona ni zaidi ya mwaka sasa!!
Kwanza kinasumbua sometime huoni chochote wiki nzima.. mpaka waamue wenyewe.. ni kero!!
Duh....ukiwapigia wanasemaje
 
Back
Top Bottom