Tawire kabisa, alituponza kwa Maximo huyuTukishinda anatakiwa apewe BAN!!!!!
mchukuliannje mizigo kwa upole, jamani kenge tena lol.............We ---- kweli ndugu!!
Huna uzalendo kabisa kenge wewe.
Na hapa siyo maala pake mbwa wewe!
[h=2]Stars kwa jeuri gani mumfunge moroko..[/h]Kesho ndo kesho
mbona unapost upuuzi?,inamaana stars haiwezi kuwafunga morocco kwao?
kama waliwafunga hapa bongo kwanini isiwe na huko kwao?
star ya sasa si ile ya massimo,timu ilikuwa inabadilishwa kila mechi wakati wenzetu wana fest eleven ya kudumu ,wapi na wapi,weka uzalendo mbele wewe kapuku
Tukishinda anatakiwa apewe BAN!!!!!
Kesho ndo kesho
Kesho ndo kesho
Mhuuuu!!!!!!! "Mataamilo"?Kwa jeuri ya 3-1 .mataamilo
Unafikiria kwa kutumia makalio mhxiiuuuuu! tutashinda na utaibika wewe!Kesho ndo kesho
Uzoefu unathibitisha