Starlet Glanza iliyomtesa mwanangu

Starlet Glanza iliyomtesa mwanangu

Travoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
397
Reaction score
483
Nilihamia mtaa fulani akawepo jirani yetu ana gari aina ya starlet glanza, hali hii ilimtesa sana kijana wangu wa kiume.Sikwamba sikuwa na pesa za kununua gari ya aina hiyo ila sikupenda kumiliki usafiri wa aina hio.

Kila walipotoka kijana wangu aliwachungulia dirishana na kufadhaika sana hakika hali ile iliniumiza zaidi moyoni mwangu, kibaya zaidi wale majirani walikuwa wana mtoto wao pia wa miaka minne sawa na wangu hivo wakati mwingine alimwita 'King'twende mall lakini hakuweza maana si kila mara wazazi wake walimchukua rafiki ake ambaye ni mwanangu.

Mwanangu bila kujua nina sikitika sana moyoni mwangu na kupanga mashambulizi ya kimaisha aliendelea kunichukulia poa tu, lakini moyoni niliweka nadhiri ya kupata chuma nilichoona walau kina hadhi yangu kwani sikutaka ninunue gari leo na kesho nione kama nilikosea.

Tumemkalibisha mnyama 'KLUGER' kwa 16m na mwisho wa siku mwanangu ana furaha baada ya kusuibiri miaka miwili ya kutamani glanza bila kujua baba aliwaza nini.
 
130-new-car.jpg
 
Nilihamia mtaa fulani akawepo jirani yetu ana gari aina ya starlet glanza, hali hii ilimtesa sana kijana wangu wa kiume.Sikwamba sikuwa na pesa za kununua gari ya aina hiyo ila sikupenda kumiliki usafiri wa aina hio.

Kila walipotoka kijana wangu aliwachungulia dirishana na kufadhaika sana hakika hali ile iliniumiza zaidi moyoni mwangu, kibaya zaidi wale majirani walikuwa wana mtoto wao pia wa miaka minne sawa na wangu hivo wakati mwingine alimwita 'King'twende mall lakini hakuweza maana si kila mara wazazi wake walimchukua rafiki ake ambaye ni mwanangu.

Mwanangu bila kujua nina sikitika sana moyoni mwangu na kupanga mashambulizi ya kimaisha aliendelea kunichukulia poa tu, lakini moyoni niliweka nadhiri ya kupata chuma nilichoona walau kina hadhi yangu kwani sikutaka ninunue gari leo na kesho nione kama nilikosea.

Tumemkalibisha mnyama 'KLUGER' kwa 16m na mwisho wa siku mwanangu ana furaha baada ya kusuibiri miaka miwili ya kutamani glanza bila kujua baba aliwaza nini.
Safiiiii sana ,Mara nyingi watoto huwa wanauliza sana maswali baba na wewe utanunua gari.
 
wakati mwingine muwe munawaambia hali halisi na ukweli watoto wenu........!!!!!
 
Mkuu hii story haina maudhui mengine ni hivi kama ilivyo

Basi hongera.
 
Nilihamia mtaa fulani akawepo jirani yetu ana gari aina ya starlet glanza, hali hii ilimtesa sana kijana wangu wa kiume.Sikwamba sikuwa na pesa za kununua gari ya aina hiyo ila sikupenda kumiliki usafiri wa aina hio.

Kila walipotoka kijana wangu aliwachungulia dirishana na kufadhaika sana hakika hali ile iliniumiza zaidi moyoni mwangu, kibaya zaidi wale majirani walikuwa wana mtoto wao pia wa miaka minne sawa na wangu hivo wakati mwingine alimwita 'King'twende mall lakini hakuweza maana si kila mara wazazi wake walimchukua rafiki ake ambaye ni mwanangu.

Mwanangu bila kujua nina sikitika sana moyoni mwangu na kupanga mashambulizi ya kimaisha aliendelea kunichukulia poa tu, lakini moyoni niliweka nadhiri ya kupata chuma nilichoona walau kina hadhi yangu kwani sikutaka ninunue gari leo na kesho nione kama nilikosea.

Tumemkalibisha mnyama 'KLUGER' kwa 16m na mwisho wa siku mwanangu ana furaha baada ya kusuibiri miaka miwili ya kutamani glanza bila kujua baba aliwaza nini.

Post of the day..enjoy the cruising man
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom