Star Tv - Tuongee Asubuhi: Muungano una nafasi gani katika Katiba Mpya?

mwagavumbi 11

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
1,254
44
MADA - JE MUUNGANO UNA NAFASI GANI KWENYE KATIBA!

WAGENI -Mh. Ole Sendeka na Mh. Mbaruku

Wanajamvi fuatilia kinachoendelea star tv upate welewa wa muungano mzee Mbaruku na Ole Sendeka wasigana kwa hoja.

=====
Sendeka
-Zanzibar siyo inchi
-Wanaodai serikali tatu makuwadi
-Waliotoa maoni yakutaka serikali tatu siyo watanzania
-Takwimu za walioba 5% ndiyo wanaotaka serikali tatu


Mh. Sendeka akiongea kwa jaziba, dharau na matusi... amewaita mwenyekiti wa Tume na mitume kadha kama ni KUADI n.k

Wapo na Mh Mbaruku, amekasirika sana live kwa Sendeka kutukana live matusi.

Ameshindwa hadi kuongea, msimamizi wa mjadala kashindwa kabisa kuongoza

Sendeka kuna umuhimu wa kusoma historia.
 
Huyu dada anampatia uwanja sendeka wa kupotosha na kumbana mzanzibari bila kumpa uhuru kama ule wa sendeka
 
Sendeka
-Zanzibar siyo inchi
-Wanaodai serikali tatu makuwadi
-Waliotoa maoni yakutaka serikali tatu siyo watanzania
-Takwimu za walioba 5% ndiyo wanaotaka serikali tatu
 
Akiongea kwa jaziba, dharau na matusi... amewaita mwenyekiti wa Tume na mitume kadha kama ni KUADI n.k

Wapo na Mh mbaruku, amekasilika sana live kwa sendeka kutukana live matusiiii

Ameshindwa hadi kuongea, msimamizi wa mjadala kashindwa kabisa kuongoza

Sendeka kuna umhimu wa kusoma historia.

Mada
------
JE MUUNGANO UNA NAFASI GANI KWENYE KATIBA!
 
Sendeka
-serkali tatu zitakuwa dhaifu...anataka mfano wa nchi ya muundo wa serkali tatu-zote hufa
-Muungano wa tz ndiyo sahihi
-Serikali tatu nikuuwa muungano
-Tume ya walioba imekiuka takwimu zake japo siwezi kusema wamekosea
-
 
Mtangazaji wa star tv dodoma hajamtendea haki mzee wa wazanzibar takribani 75% ya maongezi ya dodoma umefanywa na Sendeka.

Dada hana weledi wa kubalance mjadla wala haiba ya uhuji wa maswali yenye kupewa uhuru wa utetezi kwa wageni wake
 
Akiongea kwa jaziba, dharau na matusi... amewaita mwenyekiti wa Tume na mitume kadha kama ni KUADI n.k

Wapo na Mh mbaruku, amekasilika sana live kwa sendeka kutukana live matusiiii

Ameshindwa hadi kuongea, msimamizi wa mjadala kashindwa kabisa kuongoza

Sendeka kuna umhimu wa kusoma historia.

Mada
------
JE MUUNGANO UNA NAFASI GANI KWENYE KATIBA!

heheeeeeeeeeeee wewe umekosa cha kusema, amefafanua vizuri sana. 5% ndio waliosema serikali tatu, according to takim za warioba mwenyewe.(kama unajua hesabu lkn) ametoa mfano kwa nchi ambazo ziliwahi kufanya km warioba alivyopendekeza.
 
Ivona na mgeni wake nao wapo kiserikali mbili mJadala wao upokutetea serikali-2

Majibu ya kwanini zanziba ina-

-serikali yake
-bendera yake
-wimbo wake wa taifa
-katiba yake
-mipaka nk
Hizi kero hawazijadili zaidi ya poroja japo kutoa mapendekezo tu kwamba nini utatuzi wake
 
heheeeeeeeeeeee wewe umekosa cha kusema, amefafanua vizuri sana. 5% ndio waliosema serikali tatu, according to takim za warioba mwenyewe.(kama unajua hesabu lkn) ametoa mfano kwa nchi ambazo ziliwahi kufanya km warioba alivyopendekeza.

Wewe na Sendeka ndiyo hamjui hesabu.Unafikiri kuandika 5% ndiyo kujua hesabu?unalijua somo linaitwa NAMBA?
 
Mzanzibar
-nyerere na watanganyika wamezoea kura nyama za watu, mbona kenya na uganda hawajaingia zanzibar? Wamezoea kutukandamiza zanbar
 
serikali 3. wengine wanataka 2 kwa masilahi yao binafsi kuhisi watapoteza.
 
Wewe na Sendeka ndiyo hamjui hesabu.Unafikiri kuandika 5% ndiyo kujua hesabu?unalijua somo linaitwa NAMBA?
We nyamaza huna unalojua tunaandaa katiba ya watnzania mungu atuongoze muundo wa serikali uwe ni serikali mbili tu.
 
Mjadala uisha kwa mzozo kati ya waalikwa na pia waalikwa na mtangazaji
-mzanzibar nyinyi watangazaji pia mnaupendeleo kila sikumnamuwekanyerere na kura nyama za watu mbona karume huwa hamumuweki.....manaupendeleo nyinyi

-sendeka, kuwaita watanzania na hayati baba wa taifa wala nyama za watu ni dharau kubwa, nakusamehe bure na kukuachia dhambi yako mwenyewe

Mwisho wa mjadala
 
serikali 3. wengine wanataka 2 kwa masilahi yao binafsi kuhisi watapoteza.
Wanapoteza nini kama ukweli uko vizuri kichwani mwako make unaongea maneno mepesi sana wala hayana maana sana kwa dunia ya leo.
 
Mjadala uisha kwa mzozo kati ya waalikwa na pia waalikwa na mtangazaji
-mzanzibar nyinyi watangazaji pia mnaupendeleo kila sikumnamuwekanyerere na kura nyama za watu mbona karume huwa hamumuweki.....manaupendeleo nyinyi

-sendeka, kuwaita watanzania na hayati baba wa taifa wala nyama za watu ni dharau kubwa, nakusamehe bure na kukuachia dhambi yako mwenyewe

Mwisho wa mjadala
Halafu wewe mchochezi kweli sijui unapata faida gani kwa huu uongo na unafiki unaofanya kwenye mtandao.
 
Bado naamini sana katika muundo wa serikali mbili mengine ni uroho wa madaraka tu hakuna jipya.

Sioni kwanini Zanzibar ambayo ni ndogo kieneo iwe na serikali wakati Tanganyika hatuna serikali. Nafikiri kuna haja ya kudai serikali ya Kigoma au setikali ya Tabora maana kimaeneo na idadi ya watu ni sawa na Zanzibar. Zanzibar imeungana na nchi ipi? Tanzania au Tanganyika? Na kama iliungana na Tanganyika kwanini yenyewe bado ina serikali yake?
Hapa suluhisho la kudumisha Muungano ni kufuta serikali ya Zanzibar na kuwa na katiba moja ya JMT. Serikali mbili au tatu hakuna Muungano hapo tusidanganyane.
 
Back
Top Bottom