washa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 626
- 370
Mimi nimekuwa shabiki wa muda mrefu wa vipindi vya StarTv, hasa vipindi vya jumamosi na Jumapili asubuhi vikiongozwa na YAHAYA na DOTTO Bulendu. Wamekuwa wakiendesha vipindi vyao kwa kiwango cha kuridhisha.
Kama kawaida leo nimeamka mapema ili niangalie mjadala lakini huu wa leo unaboa ilembaya. Mwendeshakipindi amemwalika kada wa ccm ambaye amepewa kipindi ili kukinadi chama badala ya kuweka mjadala mpana. Kwanini leo hakuna mshiriki mwenye mtazamo tofauti ili kukianya kipindi kiwe na upeo.
StarTv jipangeni
Kama kawaida leo nimeamka mapema ili niangalie mjadala lakini huu wa leo unaboa ilembaya. Mwendeshakipindi amemwalika kada wa ccm ambaye amepewa kipindi ili kukinadi chama badala ya kuweka mjadala mpana. Kwanini leo hakuna mshiriki mwenye mtazamo tofauti ili kukianya kipindi kiwe na upeo.
StarTv jipangeni