Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Waungwana,
Mimi binafsi nimekuwa nikifatilia mijadala mingi na yenye tija kwa taifa hili kupitia luninga ya Star, ambapo baadhi ya mijadala hiyo nimepata kuchangia.
Ninadhani sasa,, ya kwamba iwafikie waendeshaji wa kipindi hicho cha TUONGEE ASUBUHI kwamba watujulishapo juu ya mjadala/midahalo wakusudiayo kuirusha hewani siku hiyo ya j2 basi itapendeza zaidi kama wawe wanatupa taarifa humu jamvini walau 5-days kabla ya kipindi ili kama wanahitaji michango TULIVU na yenye TIJA toka humu iweze kuwasaidia na kuisaidia jamii kiujumla.
Tutoapo michango kwa 1/2/3-days before wengine huwa hatuna utulivu wa kuchambua/kunyambua vema na kujenga hoja nzuri, na badala yake huwa tunatoa michango ya papo hapo while huenda ni topic yenye ujenzi kwa taifa na jamii kiujumla.
Naomba kuwasilisha na iwafikie wadau hao nguli wa tasnia ya habari nchini.
Mimi binafsi nimekuwa nikifatilia mijadala mingi na yenye tija kwa taifa hili kupitia luninga ya Star, ambapo baadhi ya mijadala hiyo nimepata kuchangia.
Ninadhani sasa,, ya kwamba iwafikie waendeshaji wa kipindi hicho cha TUONGEE ASUBUHI kwamba watujulishapo juu ya mjadala/midahalo wakusudiayo kuirusha hewani siku hiyo ya j2 basi itapendeza zaidi kama wawe wanatupa taarifa humu jamvini walau 5-days kabla ya kipindi ili kama wanahitaji michango TULIVU na yenye TIJA toka humu iweze kuwasaidia na kuisaidia jamii kiujumla.
Tutoapo michango kwa 1/2/3-days before wengine huwa hatuna utulivu wa kuchambua/kunyambua vema na kujenga hoja nzuri, na badala yake huwa tunatoa michango ya papo hapo while huenda ni topic yenye ujenzi kwa taifa na jamii kiujumla.
Naomba kuwasilisha na iwafikie wadau hao nguli wa tasnia ya habari nchini.