Kila mmoja anakumbuka kuwa Dr.Slaa na wengine waliohama CHADEMA mlikuwa mnawaalika kwenye vipindi vyenu kila wiki wakieleza kile kilichosababisha wao kuhama au kuacha siasa.
Mbona mzee Kingunge haiwi kama wengine ukizingatia huyu mzee ni nguli ktk siasa na chama chake mwenye kadi namba 8?
Mbona mzee Kingunge haiwi kama wengine ukizingatia huyu mzee ni nguli ktk siasa na chama chake mwenye kadi namba 8?