Yahaya, ile taarifa ya CPW ilionesha kuwa moja ya suala lilowaangusha sana viongovi wa Bunge kwa wastani wa ufanisi wao ni namna walivyoshughulikia madai ya kuwepo rushwa ndani ya Bunge na miongoni mwa wabiunge.
Mfano ulotolewa ni jinsi walivyosghulikia madai ya Mh. Kafulila aliyewataja kwa majina wabunge waliodai Rushwa tangu Mei 2011. KWA HIYO VIONGOZI NA WASIMAMIZI WA MFUMO NDIO WALIOSHINDWA KUCHUKUA HATUA.
Mwigulu anaelezaje suala hili?
Mnyaa hajui kwamba kila sheria duniani ina mapungufu: muhimu ni zile nguvu za seria zinatumikaje kudhibiti hali iliyopo?? kwa hali ilivyo, hata kukiwa na sheria nzuri kiasi gani, kwakuwa viongozi hawawajibiki, haiwezi kufanya kazi. Mengine ni nyongeza.