Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,973
- 32,368
Dah mkosamali anafunguka sana,mb unakopeshwa mil90 za magari,iweje ununue vogue ya mil300? Umepata wapi hela? Anasema mtu kama huyo kamata weka ndani.
Anafunguka nini sasa hapo? usifuate mkumbo tu kuna mbunge gani Tanzania anaendesha Vogue ya milioni 300 hizo Vogue unazoziona wanaendesha kina Komba, Mbowe ni mitumba tu hiyo mikopo yao inatosha kununua.