Star times, ting na DSTV zinachakachulika

Star times, ting na DSTV zinachakachulika

hizi siku tatu zisije zikawa kama zile siku tisini za NNAPE! naisubiri hiyo kesho kwa hamu mkuu!
 
Nami nasubilia kwa hamu kweli kweli.....dstv wametukamua sana.
 
Hapa sijui ni mimi tu sijaelewa?

Star times ting dstv zinachakachulika
 
mkuu tunasuriri kwa hamu bado cku moja. Jamaa wametuchakachua sana, huu ndo muda wao
 
kama kawa yangu nilikuwa chimbo zinachakachulika naombeni 3 daysnishushe darasa . Majaribio tayari nimefanikiwa kuweni na subra wanatamani@gmail.com

UMETUDANGANYA VYA KUTOSHA,UMETUPOTEZEA MUDA VYA KUTOSHA NA UMEPOTEA HUONEKANI TUMEBAKI BILA MAJIBU TUNAHISI LABDA NA WEWE NI MMOJA WAWAHANGA WAAJALI YA SUMRY AU NI MUHUNI TU ULIEAMUA KUTUPOTEZEAMUDAWETU NA HUKU UKIJUA HUWEZI KUFANYA ULICHOTUAHIDI! WATU KAMA NYIE NDIO MNASHUSHA HADHI YA ''JF''.:biggrin1: :biggrin1:!! umeniudhi sana ,wewe niwakupigwa ban tujue moja!

ngoja nikalipie kihalali dstv yangu!!
 
DSTV hazichakachuliki ila unaweza kufanya half chakachualing...kwa kuongeza channel ambazo sio za DSTV. WAKE UP TANZANIAN EHE!!


mkuu msaada wa kuongeza chanell zisizo za dstv!!
 
Easy unaunganisha line ya simu land line una dial 911 then unawasha deki na kuunganisha video camera bang dstv free
 
Da jamaa nona siku tatu au nawe siku tisini kama magamba?
 
bwahahahahaha😛ound:😛ound:😛ound:😛ound: kweli hii kali
 
Zinachakachulika ila waTZ mnaongea sana,DSTV mfano watu tulikuwa tunajitazmia bure waTZ wakaenda mpaka multchoice wakawa wanawatambia tunaangalia bure tunaangalia bure,ikibidi wastuke wakaifunga sasa hivi ukijua technology unakula vitu mwenyewe tu akuna kumwanga maujanja kwenye open kama apa. Alafu kesho tu mautamu yanakuwa blocked. Watanzania iwapo tungeweza tunza siri kama wapakistani na shekhee Osama,tungefika mbali
 
we jamaa acha kupoteza time za watu kama hutaki kushare ideaz this is not place for you!!!!!!
kwakeli i have been waitin' for this thing the unayeyusha watu...
 
Zinachakachulika ila waTZ mnaongea sana,DSTV mfano watu tulikuwa tunajitazmia bure waTZ wakaenda mpaka multchoice wakawa wanawatambia tunaangalia bure tunaangalia bure,ikibidi wastuke wakaifunga sasa hivi ukijua technology unakula vitu mwenyewe tu akuna kumwanga maujanja kwenye open kama apa. Alafu kesho tu mautamu yanakuwa blocked. Watanzania iwapo tungeweza tunza siri kama wapakistani na shekhee Osama,tungefika mbali

Mkuu unachosema ni kweli mpaka hapa wameshatamba kuna mwana Jf kasema hivi na vile wakati hata hawajafanikiwa.
 
Kweli kabisa ila maujanja unaangalia na mtu na mtu wa kushare naye kwa kumpm hyo ndio itakuwa vzuri.
 
Back
Top Bottom