Siyo kweli kuna watu kwenye kaya yake ana ving'amuzi 2...Huyo Agape atakua na waumini wake tu...
Anyway naona maendeleo ama kweli Tanzania ya mama Samia ina ng'ara ng'ara maana kuwa na raia 3M plus wenye TV ni maendeleo.
Ndo maendeleo yenyewe hayoo.Siyo kweli kuna watu kwenye kaya yake ana ving'amuzi 2...
Dstv ni kwa ajili ya matajiriHicho king'amuzi hamna kitu,DSTV ndo mnyama