SuperSport ndo wana haki pekee ya kuonyesha Euro 2012 Sub Sahara Africa, labda UBC walianza kuonyesha illegally lakini wakapigwa stop baada ya mechi ya kwanza.
dah...!! Kwa hiyo sisi tusio na uwezo na hiyo supersport ndio basi tena...SuperSport ndo wana haki pekee ya kuonyesha Euro 2012 Sub Sahara Africa, labda UBC walianza kuonyesha illegally lakini wakapigwa stop baada ya mechi ya kwanza.
Mkuu wakati SuperSport wanaingia mkataba hawa vilaza wetu walikuwa wapi..? Mie bado siamini kabisa kwamba DSTV wanaweza kuwa na sauti kubwa hapa kwetu bila ya kukingiwa kifua.. Kama viongozi wetu wangekuwa wazalendo basi starehe pekee ambayo walala hoi walikuwa wamebakiwa nao icingenyang'anywa kwao..! Nimeshakosa kuangalia mechi 3 za Euro na uwezo wa kumilki DSTV sina.. Damn dem..
Serikali haiwezi kuingilia mkataba ni kati ya UEFA na SuperSport. Unless unataka serikali inunue haki za kurusha, ambayo ni gharama kubwa.