mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Mpaka sasa kuna penati 11 zimetolewa, lakini upigani wa penati bado ni tatizo sugu!! Zaidi ya nusu ya penati hizo hazikufungwa. Tatizoni nini? Je kikwazo ni umahiri wa magolikipa au ni mbinu mbovu za wapigaji wa penati? tujadili! Ukiangalia jkubwa wa majina ya wapiga penati usingetazamia wengi wakose kiasi hicho!! Siku hizi kupata penati hakukuhakikishii kufunga goli!! bado ni hamsini kwa hamsini au bado ni patapotea! Wanakwama wapi? Tatizo ni nini? Tujadili.
Lakini cha kushangaza ni kuwa wakati kwa wengine kufunga penati ni kama pata potea kwa Ronaldo mambo ni tofauti kabisa!! Kwake penalt = goal!! Anawazidi kipi wenzake? Katika mashindano haya kwa wengine tumeona 8 penalties=2 goals lakini kwa Ronaldo 3 penalties=3 goals!!
Mkeka mzima wa penati mpaka sasa Euro 2020 huu hapa:
Lakini cha kushangaza ni kuwa wakati kwa wengine kufunga penati ni kama pata potea kwa Ronaldo mambo ni tofauti kabisa!! Kwake penalt = goal!! Anawazidi kipi wenzake? Katika mashindano haya kwa wengine tumeona 8 penalties=2 goals lakini kwa Ronaldo 3 penalties=3 goals!!
Mkeka mzima wa penati mpaka sasa Euro 2020 huu hapa:
- Pierre-Emile Hojbjerg (missed) - DENMARK vs Finland
- Cristiano Ronaldo (scored) - PORTUGAL vs Hungary
- Gareth Bale (missed) - WALES vs Turkey
- Ezgjan Alioski (missed) - NORTH MACEDONIA vs Ukraine
- Ruslan Malinovskiy (missed) - UKRAINE vs North Macedonia
- Memphis Depay (scored) - HOLLAND vs Austria
- Emil Forsberg (scored) - SWEDEN vs Slovakia
- Patrik Schick (scored) - CZECH REPUBLIC vs Croatia
- Gerard Moreno (missed) - SPAIN vs Poland
- Artem Dyzuba (scored) - RUSSIA vs Denmark
- Alvaro Morata (missed) - SPAIN vs Slovakia