mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
Serikali inasema wao ndio hawajakamilisha document na Starlink wanasema wao kila kitu tayari wanaisubiri serikali.
Kama tumesahau niwakumbushe ni serikali ndio inamiliki mkongo wa Taifa kupitia TTCL ambayo haijawahi kuwa huduma nzuri ya mtandao kuzidi mitandao mingine japo wao ndio wanagawia mitandao mingine connection.
Tanzania tusahau hizi raha wanazopata mataifa mengine sisi tuendelee na haya yetu ya kuliwa bundle na internet mbovu