Standing order kitu adimu na muhimu.

Duh Mwalimu mbona unachemka hivyo? Standing order haihusu school issues hata siku moja na hakuna hata neno moja acha sentensi inayozumgumzia school issues. Ndio maana Mkuu wako anakunyanyasa....N PM email yako nikutumie bwana

Nashukuru aisee, maana huku nikigusa tu kitu, utasikia sauti ya mkuu, "mwalimu standing order inasema..........."
 

Kwa mfano, nasikia standing order hairuhusu mtu yeyote yule kutumia peni nyekundu isipo kuwa RAISI na MWALIMU (wakati wa kusahisha tu)
 
Duh Mwalimu mbona unachemka hivyo? Standing order haihusu school issues hata siku moja na hakuna hata neno moja acha sentensi inayozumgumzia school issues. Ndio maana Mkuu wako anakunyanyasa....N PM email yako nikutumie bwana

mkuu nami naomba ntumie tafadhali...
vanmedy@gmail.com
 
Kwa mfano, nasikia standing order hairuhusu mtu yeyote yule kutumia peni nyekundu isipo kuwa RAISI na MWALIMU (wakati wa kusahisha tu)

Pia Mawaziri ndio wanaoruhusiwa kuandika kwa penseli. Kila kitu kipo wazi, kuanzia namna ya kuandika barua ...... Isome kwa kina, ielewe, na ikariri iwe kwako kama msaafu au Biblia.
 
Pia Mawaziri ndio wanaoruhusiwa kuandika kwa penseli. Kila kitu kipo wazi, kuanzia namna ya kuandika barua ...... Isome kwa kina, ielewe, na ikariri iwe kwako kama msaafu au Biblia.

Asante ndugu nmeipata nnaikomalia mwanzo mwisho yaani.
 

Ndugu,

Naomba nitumie kwa email theweeknd9911@gmail.com

Kama unazo zote itakuwa poa sana
 
Kama wengi mmeshatumiwa ikiwezekana mu-upload tu, kwa faida ya watumishi wa umma na wengine pia.
 
Kama wengi mmeshatumiwa ikiwezekana mu-upload tu, kwa faida ya watumishi wa umma na wengine pia.

Hii kitu ni moto aiseee, bosi akikusikia unayo anaweza akakuchukia/akakupenda kuliko maelezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…