Mzee Es na willo,
Jamani mwacheni Augustine anapenda vibaya mwenzenu wala halioni chongo!. Hizo takwimu zke nimezipitia toka benki kuu na ajabu hakusoma maelezo ya takwimu za miaka ya nyuma. Tena labda nichukulie kipindi alichozungumzia - Kati ya January hadi kufikia Dec 2005. Kuna vipengele kama hivi:-
1. During the quarter ending December 2005, annual average inflation rose to 4.8 percent, from 4.5 percent, recorded during the quarter ending September 2005. The upward pressure on inflation emanated from increased food demand in the domestic market and in the neighbouring countries which led to acceleration in food inflation from 6.3 percent to 6.9 percent.
Kwa hiyo sioni ajbau kuwepo kwa hilo ongezeko ktk kipindi cha miezi mitatu ya JK.
Fikiraduni, ndugu yangu Hiyo shillingi 17 kwa Kenya moja ipo miaka sasa! Mimi nimewahi kuzungumzia Bcstimes nikifananisha na Mchonga ambaye aliondoka mwaka 1984 tukiwa 1Ksh kwa 10 za Bongo. Imeendelea hiyo pamoja na mabadiliko yote ya Dollar lakini miaka kumi hii ya mwisho ndipo Kenya wameweza kupiga hatua mpya dhidi ya shillingi yetu hali Mkapa na watu wake wanaendelea kudai tunaendelea na hiyo GDP yao. Kumbuka mwinyi aliondoka dollar ni Tsh. 550, yote mmeyafumbia macho!Pia toka Takwimu za BOT mwaka huo 2005 angalia kipande hiki toka benki kuu wakati huohuo wa Mkapa kinasema nini?
2. The Tanzanian shilling on average depreciated by 2.2 percent in nominal terms against the US Dollar, moving from an average of TZS 1,134.8 per US dollar, recorded during the quarter ending September 2005 to an average of TZS 1,160.2 per US Dollar as at the end of December 2005.
Sasa hivi kweli mnafikiri JK ni Yesu wa kuja na kubadilisha vitu kimiujiza?...samaki mmoja ni mmoja tu akishaliwa kipande basi ndio imetoka!
Mwisho kabisa kuna vitu kama hivi yote ktk Utawala wa Mkapa, lakini mwenzetu kayapamba kwa mafuta ya nazi, harufu yake si utuli bali vundo!
4. The overall central government budget deficit (before grants) widened to TZS 651.0 billion from a deficit of TZS 302.1 billion recorded during the quarter ending September 2005. After considering grants, the deficit was reduced to TZS 303.2 billion. Revenue collection amounted to TZS 548.9 billion, being TZS 28.6 billion above the targeted amount for the quarter. Total expenditure amounted to TZS 1,087.2 billion, which was also higher than the budgeted amount of TZS 798.8 billion for the quarter.
Unatengeneza tano matumizi kumi, robo yake hayana supporting documents! kweli tutafika?
5. Total national debt (domestic and external) stood at US$ 9,383.9 million as at the end of December 2005.