sukhote4000
Member
- Jan 9, 2014
- 27
- 4
Kuweni teyari mkao wa kula kwa wale walioomba stamico re advertised posion mda wowote majina tataachiwa ,kulikuwa na mchakato wa kumtafuta director general na teyari ,pia wale wa interview ya kwanza ya dec wategemee kupigiwa simu pia kuanza kazi within two weeks