St. Joseph Collage Of Engineering

St. Joseph Collage Of Engineering

Mkuu wanakataza t shirt.

ti shirt HAWAKATAZI ZOTE only zenye round nake, long sleevee na zenye chata za ajabu ajabu au yale mabwaga ya kina 50cent rickrose na j-z.... vaa smart mfano zile tshirt za fom6 hakika hakuna atakae kuulizia

jeans zilizochanwa kwenye goti haziruhusiwi, pensi na open shoez not allowed on the college campus .... in general uwe smart and well groomed.

karibuni.
 
ti shirt HAWAKATAZI ZOTE only zenye round nake, long sleevee na zenye chata za ajabu ajabu au yale mabwaga ya kina 50cent rickrose na j-z.... vaa smart mfano zile tshirt za fom6 hakika hakuna atakae kuulizia jeans zilizochanwa kwenye goti haziruhusiwi, pensi na open shoez not allowed on the college campus .... in general uwe smart and well groomed. karibuni.
Mkuu umenisoma ukanielewa?,Ulichokizungumzia wewe ndio nilichozungumza.
 
xo rum zipo za kupanga au hostel around zna mazngra mazur
 
xo rum zipo za kupanga au hostel around zna mazngra mazur
Vyumba/Hostel ni nyingi sana kulingana na pesa yako tu.Lakini ushauli wangu chukua room yako peke yako usikae na mtu binadamu ni wasumbufu sana.Kama unahitaji kusoma na kufanya mishe zako utakazo ona znafaa nje ya masomo kaa peke yako.Ni ushauli tu unaweza kuuchukua au kutouchukua.
 
Vyumba/Hostel ni nyingi sana kulingana na pesa yako tu.Lakini ushauli wangu chukua room yako peke yako usikae na mtu binadamu ni wasumbufu sana.Kama unahitaji kusoma na kufanya mishe zako utakazo ona znafaa nje ya masomo kaa peke yako.Ni ushauli tu unaweza kuuchukua au kutouchukua.

Hzo bei zao uliztaja bt hadhi ya hvyo vyumba huwa iko vp?... ni self container au.
 
ti shirt HAWAKATAZI ZOTE only zenye round nake, long sleevee na zenye chata za ajabu ajabu au yale mabwaga ya kina 50cent rickrose na j-z.... vaa smart mfano zile tshirt za fom6 hakika hakuna atakae kuulizia

jeans zilizochanwa kwenye goti haziruhusiwi, pensi na open shoez not allowed on the college campus .... in general uwe smart and well groomed.

karibuni.

Jaman Kwan Huwez Kuhama Tu Bla Kulipia Pesa Yoyote Katka Chuo Ulchopangiwa?
 
kwa ya mbezi nenda na pesa si chini ya laki 7, na vyeti vyote na kop zake 3 3

so vyeti vipi huwa vnahtajika coz vyet vya form six bado and ucpoenda na mtonyo pungufu ndo inakuaje hapo.
 
Unatakiwa uende na hela isiyopungua 700000Tsh, hawana hostel hivyo itakubidi upange room nje ya chuo ambapo bei inarange in btn 50000 hadi laki 1 kutokana na hadhi ya chumba.
Kama una hela za kudunduliza ni bora ufanye uamuzi mwingine maana ada ni milioni 3 na ushee
Walimu wote ni wahindi
Darasani mnaitwa majina na kuitika kwa kila kipindi
Mahudhurio yako na ada ndio yatakufanya ufanye mtihani wa mwisho i.e UE
Bila kificho maisha ni ghari kama una kipato cha chini sana utapata usumbufu kumudu gharama za maisha.
Kwa wanaotaka vyumba tuwasiliane kwa msaada inbox
 
Ada kwa engineering yeyote pamoja na michango ni 3050400 kwa mwaka.Ili uweze kusajiliwa kima cha chini unapaswa ulipe 700000.Ukilipa chini ya hiyo utapaswa uandike barua ya kuomba usajiliwe na kuahidi utaongeza lini iyo pesa ili ifikie laki saba.Chuo kina hostel chache za girls zilizopo Kibamba na kodi kwa mwezi ni sh 15000,Kwa boys itawapasa mpange kwenye hostel za watu binafsi au mtu achukue room peke yake.Hostel za watu binafsi zipo nyingi karibu na chuo pia na mbali na chuo.Na kodi hutegemeana na idadi ya watu mliopo ndani ya room.Mnapokaa chumba kimoja watu wanne itampasa kila mtu kulipia 25000 kwa mwezi,watu wawil chumba kimoja kila mtu atalipia 35000-40000 kwa mwezi.Na unapohitaji room yako binafsi utalipia 50000-60000.Kwa room ambazo ni self kodi inaanzia 70000-100000 kutegemeana na hadhi ya chumba.Jambo la kuzingatia kama unatambua ada niya kubangaiza,Hiki chuo sio rafiki kwako.Fanya transfer mapema ili baadae usije kuhangaika.aaaHata ukilipa ada ukabaki unadaiwa sh 400 muhindi hatokuruhusu kufanya mtihani wa mwisho(UE),Na itakupasa urudie mwaka.Wahindi wanasheria za kipuuzi nyingi mfano ukichelewa kuingia ndani ya kipindi zaidi ya dakika tano,itakupasa uende library na utakuja kipindi kinachofuata.Hairuhusiwi kwa boys kuvaa tishet au sandozi na ukija umevaa utazuiliwa getini na utarudi hom ukabadilishe.Kuhusu mapindi wako vizuri sana hasa kwa civil,electrical and electronics pamoja na course za computer.Atendence huitwa na kila lecturer anapoingia kupiga pindi na mwisho wa siku asilimia za mahudhurio huangaliwa kwa kila somo ndipo utakaporuhusiwa kufanya mtihani husika.Utakapopata asilimia chini ya 75 utakuwa umesap somo husika automaticaly.Kwa wale wa mechanical duu sina cha kueleza mtakuja mshuhudie wenyewe.Note:Muhindi anapenda kuheshimiwa zaidi ya maelezo.

kuna ndugu yangu alimaliza hapo ,kwa sasa yupo BOT. ulichoeleza hapo haujakosea hata kimoja, uko poa kwa maelezo mazuri.
 
Back
Top Bottom