and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Nimeshangaa msiba kuwekwa kwa wakili msomi mwingine badala ya Nyumbani kwake. Hii imekaaje Wadau? Au mambo ya apartment kama Le Mutuz?
Kumiliki Nyumba si lazima umiliki ardhi (NHC/developers wengine wanauza units kibao daily kwa wageni). Jamaa wana-invest kwenye nyuchi kama jasiri muongoza njia.Sheria ina ruhusu raia asiekua wa Tanganyika wa kigeni kumiliki aridhi?
Ndiyo.......WAZANZIBARI, wanaruhusiwa kukata ardhi kiasi chochote wanachotaka, pia kuchota mchanga wetu.Sheria ina ruhusu raia asiekua wa Tanganyika wa kigeni kumiliki aridhi?
Kibongo Bongo marehemu aliyeacha Bii Bank lakin amepanga Mikocheni na Marehemu aliyejenga nyuma Mivumoni ya milioni 60 na Bank ana afu mbili ,marehemu mwenye nyumba ndiyo ataonekana alikuwa na akili ya maisha.Naona bongoland kua na nyumba au kujenga nyumba ni big deal, kuna watu wanaamua tu hawataki kujenga ili mradi atapanga sehemu nzuri bila tatizo. Maana wengine wanaona shida ujenge li nyumba la milioni 200 Kibada sijui Goba, baada ya miaka kama 5 unavuta unawaacha familia na madeni ya bank si sawa. Bora hio pesa upange ila watoto waende shule za uhakika likitokea la lakutokea umewaachia watoto msingi wa elimu bora bila madeni.
KweliJamaa wana-invest kwenye nyuchi kama jasiri muongoza njia.
Sawana Marehemu aliyejenga nyuma Mivumoni
Kweli sio nyumba tu gari pia ananunua km ananunua pipi ya 200Kuna watu wanatembea na nyumba mifukoni yaani dakika 0 tu anashusha MJENGO wa HATARI.