ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Habari wadau/wataalamu,
Katika kutatua changamoto za gharama ya kilimo nimekutana na hii teknology ya kutumia Sprinkler guns kumwagilia eneo kubwa na kupunguza gharama ya kulipa vijana wa umwagiliaji.
Nachoomba kujua kutoka kwenu ni elimu ya;
1. Kumwagia ekari 10 (mfano), nahitaji Gun yenye uwezo upi? Nyingi nimeona zinarusha maji kuanzia 20m mpaka 45m. Zipo pia za 70m. Natakiwa nizingatie specifications gani?
2. Ili kutumia hizo Gun kwenye capacity yake natakiwa ninunue water pump ya uwezo gani?
3. Je maji ya kisima cha kuchimba na mashine yanatosha kwa umwagiliaji huu? Au lazima nilime pembeni ya mto. Mana inaonekana maji yanatumika mengi sana kumwagia eneo lote na sio mashimo yenye mmea.
4. Guns za nchi gani ni imara au hata hizi cha China hazina shida. Maduka mengi ya pembejeo mjini nimekuta wanauza between 200k na 300k na karibu zote za China.
Nitashukuru wataalamu wakinipatia majibu haya na taarifa nyengine za muhimu.
Katika kutatua changamoto za gharama ya kilimo nimekutana na hii teknology ya kutumia Sprinkler guns kumwagilia eneo kubwa na kupunguza gharama ya kulipa vijana wa umwagiliaji.
Nachoomba kujua kutoka kwenu ni elimu ya;
1. Kumwagia ekari 10 (mfano), nahitaji Gun yenye uwezo upi? Nyingi nimeona zinarusha maji kuanzia 20m mpaka 45m. Zipo pia za 70m. Natakiwa nizingatie specifications gani?
2. Ili kutumia hizo Gun kwenye capacity yake natakiwa ninunue water pump ya uwezo gani?
3. Je maji ya kisima cha kuchimba na mashine yanatosha kwa umwagiliaji huu? Au lazima nilime pembeni ya mto. Mana inaonekana maji yanatumika mengi sana kumwagia eneo lote na sio mashimo yenye mmea.
4. Guns za nchi gani ni imara au hata hizi cha China hazina shida. Maduka mengi ya pembejeo mjini nimekuta wanauza between 200k na 300k na karibu zote za China.
Nitashukuru wataalamu wakinipatia majibu haya na taarifa nyengine za muhimu.