Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,098
Samahani hii ni kwa wanandoa pekee
kwa wale awajaoa ama kuolewa basi hilo tatizo kutoka ni ngumu kama unazini na mwanaume ama mwanamke na huku spiritual husband akitimua uchumba wako kumbe shetan ni wewe ulieanza kumvulia mwanaume chupi kabla ya ndoa
turudi tulipotoka na tunapoenda najua bado una muda utakaribia kajua baada ya kuingia kwenye ndoa
ndugu zanguni wapendwa kumekuwa na ndoa nyingi sana zina matatizo na mbaya zaidi hivi sasa nimeona ndoa za watu waliookoka na wanaomjua mungu zikishake na wengine kubana matatizo yao lakini kwa sababu ni binadamu wanashindwa kuyabana na kuyaachia kuomba msaada...hili ni ttatizo na tatizo kweli kweli
kuna wakati unashangaa mmekuwa mkipendana sana sana baada ya kuoana mwenzio anafurahia penzi baada ya wiki mbili hana amu na wewe tena ...sio yeye tafadhali naomba nikujulishe kumekuwa na mapepo ya spiritual husband ama spiritual wife..wapo wanandoa wameoana lakini wako kama mtu na dada na wanasali kweli kweli ikifika hamu ya ndoa upande mmoja unakuwa auna hamu na mwenzie na kusihia nipe muda namalizia hiki ngoja nikaoge nkakojoe na wengine hata kujifungia chooni ili hamu ya mwenzie iishe
nini spitual husband/wife
hawa ni maroho kabisa na wanasikia na wako kama binadamu ..wanachofanya ni kuingia kwenye ndoa wanayoona huko mbele ina baraka na mafanikio kwenye maisha yao wanafikiria kumpeleka mmoja enu kuzimu kwa kutoka nje ya ndoa na wakishindwa wanawakosesha wote hamu kivipi...mume anakuwa usiku akilala anaota yuo na mwanamke mzuri tena kama wewe mkewe na anampa maloveee yote mnayopeaana kitandani baada ya muda mume anakuwa hoi...asbh mke ukiamka kuomba chako cha asbh unakuta mwenzio ata fikirio hana kabisa hali hii ni same kwa wanawake kuna roho za spiritual husbnda baba ..hawa wanakomaa na mkeo kama awana akili nzuri usiku na kumpa style zote wewewe ukiamka ama mkimaliza kusali mnasema mpeane raha mwenzio anamfikiria jamaa usiku anakuja asangapi...na anamkojolesha anavyotaka ....\\ndugu zangu
umefika wakati wa kupeana info nini srsc ya matatizo ya kwenye ndoa na kama mwenzio ana hali kama hii chukua nafasi yake nenda kanisa lolote la karibu la wokovu kamili waambie wakuombee ikiwezekana peleka kufuli la mwenzio la ndani .......pepo hawa wakati mwingine wanamtumia mumeo unafika wakati mkitokea kkukutana unakuta cha mwenzio kidogo kabisa kama chaki na kinaendelea kutumiwa na wakati ushazoe ndefu ...so chukua nafasi hii kwenda kwa wachungaji wakuombeee achana na hao vimada mahawwara sio soln ya matatizo yako tatiz ni humo ndani chukua anafasi kama mume ama mke simama okoa ndoa yako
jumamosi njema na wote walioofunga ndoa leo ama wanaosubiri kufunga ndoa hii ni tahadhari jinsi ya kuokoa ndoa yako awa jamaa aijalishi mmekaa miaka mingapi
kwa wale awajaoa ama kuolewa basi hilo tatizo kutoka ni ngumu kama unazini na mwanaume ama mwanamke na huku spiritual husband akitimua uchumba wako kumbe shetan ni wewe ulieanza kumvulia mwanaume chupi kabla ya ndoa
turudi tulipotoka na tunapoenda najua bado una muda utakaribia kajua baada ya kuingia kwenye ndoa
ndugu zanguni wapendwa kumekuwa na ndoa nyingi sana zina matatizo na mbaya zaidi hivi sasa nimeona ndoa za watu waliookoka na wanaomjua mungu zikishake na wengine kubana matatizo yao lakini kwa sababu ni binadamu wanashindwa kuyabana na kuyaachia kuomba msaada...hili ni ttatizo na tatizo kweli kweli
kuna wakati unashangaa mmekuwa mkipendana sana sana baada ya kuoana mwenzio anafurahia penzi baada ya wiki mbili hana amu na wewe tena ...sio yeye tafadhali naomba nikujulishe kumekuwa na mapepo ya spiritual husband ama spiritual wife..wapo wanandoa wameoana lakini wako kama mtu na dada na wanasali kweli kweli ikifika hamu ya ndoa upande mmoja unakuwa auna hamu na mwenzie na kusihia nipe muda namalizia hiki ngoja nikaoge nkakojoe na wengine hata kujifungia chooni ili hamu ya mwenzie iishe
nini spitual husband/wife
hawa ni maroho kabisa na wanasikia na wako kama binadamu ..wanachofanya ni kuingia kwenye ndoa wanayoona huko mbele ina baraka na mafanikio kwenye maisha yao wanafikiria kumpeleka mmoja enu kuzimu kwa kutoka nje ya ndoa na wakishindwa wanawakosesha wote hamu kivipi...mume anakuwa usiku akilala anaota yuo na mwanamke mzuri tena kama wewe mkewe na anampa maloveee yote mnayopeaana kitandani baada ya muda mume anakuwa hoi...asbh mke ukiamka kuomba chako cha asbh unakuta mwenzio ata fikirio hana kabisa hali hii ni same kwa wanawake kuna roho za spiritual husbnda baba ..hawa wanakomaa na mkeo kama awana akili nzuri usiku na kumpa style zote wewewe ukiamka ama mkimaliza kusali mnasema mpeane raha mwenzio anamfikiria jamaa usiku anakuja asangapi...na anamkojolesha anavyotaka ....\\ndugu zangu
umefika wakati wa kupeana info nini srsc ya matatizo ya kwenye ndoa na kama mwenzio ana hali kama hii chukua nafasi yake nenda kanisa lolote la karibu la wokovu kamili waambie wakuombee ikiwezekana peleka kufuli la mwenzio la ndani .......pepo hawa wakati mwingine wanamtumia mumeo unafika wakati mkitokea kkukutana unakuta cha mwenzio kidogo kabisa kama chaki na kinaendelea kutumiwa na wakati ushazoe ndefu ...so chukua nafasi hii kwenda kwa wachungaji wakuombeee achana na hao vimada mahawwara sio soln ya matatizo yako tatiz ni humo ndani chukua anafasi kama mume ama mke simama okoa ndoa yako
jumamosi njema na wote walioofunga ndoa leo ama wanaosubiri kufunga ndoa hii ni tahadhari jinsi ya kuokoa ndoa yako awa jamaa aijalishi mmekaa miaka mingapi