Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.
Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.
Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.
Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.
Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.
Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.
Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.
Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.